Hii ni dawa ya nini?

Hii ni dawa ya nini?

Screenshot_20241130-204817.png
Screenshot_20241130-204807.png
 
Hapo ni kutoa muongozo wa Mali zako kame umeenda dry

Pep - ukisex with MTU mwenye umeme waweza kumeza hivyo

Also ukiwa na umeme too

Kama umechapa muda basi pangilia mali zako vizuri
 
Aliyeuliza anajua Ni dawa ya nini Ila anatukebehi Tu 🤣🤣

Japo Asikariri si Kila mwenye Dawa hiyo anaHIV...
Huku Kwenye CTC zetu Tumezoea Kuiita TRUVADA..

Ila Jina lake Halisia Ni Tenofovir + Emtricitabine..
Hutumika Pia Kutibu HBV na HCV japo Sio standard yake..
ila Inaweza Kutumika kama Preventive measure ya HIV kama Pre exposure prophylaxis au Post Exposure prophylaxis yaani PrEP au PEP..

Ila angalizo kama Ni mpenzi wake na Hajapima Naye magonjwa ya Zinaa wala HIV ni Vyema wakapime Maaana Hiyo Dawa ni 2nd Line Treatment of HIV Vurus Baada ya TLD kufail..(Maana Kwa Umri najua Hawezi kuwa Mtoto)..

So Kama ni 2nd Line means 1st line Ilifail swali ni kuwa Why Regime ya kwanza Ilifail..

Mimi na wewe hatujui..Ila kama Itakupendeza Kaa na Mpenzi wako Mshaurine na Ikiwezekana mjengee Imani ya kukuamini kukwambia ili mambo yasiwe mengi na amabaya zaidi

CC: mshamba_hachekwi
 
Back
Top Bottom