Hii ni dawa ya nini?

Hii ni dawa ya nini?

Muulize Taratibu bila kumuonyesha ukali wala Kushtuka atakujibu tu kama utamuonyesha hali ya Kutokuwa na hofu huku umetulia Kumsikiliza And NonJudgemental posture
Sawa kiongozi wacha nimcall now
 
Sijachelewaa nimesex nae leo saa10 jioni
Safi kimbia chap kituo Cha afya . Waeleze ila ukianza kutumia Dawa hizo nakuomba sana usiache kutumia hata siku Moja . Maana usipotumia ndani ya masaa 48 tu unaharibu Dawa..

Wengi wanaacha sababu mbalimbali labda zile side effects au hofu ya kumeza ikiwa hauishi mwenyewe n.k ila hakikisha unameza Hadi siku ziishe 28.. mara nyingi wanashauri usiku ili iwe rahisi isiathiri shughuli zako..

Usione aibu Nenda, hata mwenyewe watakusikiliza na kukusaidia Nenda hospital .. hizo dawa mara nyingi haziuzwi madukani .
 
Safi kimbia chap kituo Cha afya . Waeleze ila ukianza kutumia Dawa hizo nakuomba sana usiache kutumia hata siku Moja . Maana usipotumia ndani ya masaa 48 tu unaharibu Dawa..

Wengi wanaacha sababu mbalimbali labda zile side effects au hofu ya kumeza ikiwa hauishi mwenyewe n.k ila hakikisha unameza Hadi siku ziishe 28.. mara nyingi wanashauri usiku ili iwe rahisi isiathiri shughuli zako..

Usione aibu Nenda, hata mwenyewe watakusikiliza na kukusaidia Nenda hospital .. hizo dawa mara nyingi haziuzwi madukani .
Sawa sawa hakuna shidaa ni kila siku sindio
 
Safi kimbia chap kituo Cha afya . Waeleze ila ukianza kutumia Dawa hizo nakuomba sana usiache kutumia hata siku Moja . Maana usipotumia ndani ya masaa 48 tu unaharibu Dawa..

Wengi wanaacha sababu mbalimbali labda zile side effects au hofu ya kumeza ikiwa hauishi mwenyewe n.k ila hakikisha unameza Hadi siku ziishe 28.. mara nyingi wanashauri usiku ili iwe rahisi isiathiri shughuli zako..

Usione aibu Nenda, hata mwenyewe watakusikiliza na kukusaidia Nenda hospital .. hizo dawa mara nyingi haziuzwi madukani .
Sawa sawa hakuna shidaa ni kila siku
Kwaio upo ndani ya masaa 72? Muda huu unaochat ungekuwa ni Mimi ningekuaa nipo hospital nasubiri kupewa dawa hizo dawa .
Ndiooo
 
PEP vinakuwa vyeupe,umbo hilohilo ni mziki wa wateule aliouimba Mchizi Moxx.

Mziki umekomaa na umeenda shule,
 
Back
Top Bottom