Hii ni Gari Halali kwa Matajiri Duniani ila Wengi hawajui Utofauti wa Hizi Gari.

Hii ni Gari Halali kwa Matajiri Duniani ila Wengi hawajui Utofauti wa Hizi Gari.

HAHAHHAHAHAHHAHAHAHAHHA DAH thread kama hizi waanzishaji hua hawakawii kupokea za uso
 
Karibuni kwenye Ulimwengu wa RANGE ROVER. Tupeane uzoefu zaidi na ushauri.
Hapa wa kukupa uzoefu watakuwa ni wachache sana. Wengi tumekuja kuchukua uzoefu kwa kuwa hizi gari tunazionaga tu kwa mbali... Sie bado tuko level ya Vitz... Hongera kwa kumiliki mikoko ya maana!
 
pamoja na barabara mbona huwa naclock 280 kph? maana mchuma nilio nao ni 320 Kph. Ila sio barabtra zote katika nchi hii nui nyembamba na kwa kuoishana na magari mengine inabidi upunguze walao iwe 200
 
Svauto ndo imebaki na mwonekano wa kale ulioboreshwa wa RR. Nami nlilipenda sababu limekaa kiume sana na hasa sisi wenye misimamo ya kale ya RR. vijana wakoloni.lina space pia kubwa sana.

Evoque nliona inafaa sana kwa wadada, ntakuja kumnunulia wife nikioa yeye awe na evoque.
Mnunulie na mimi niiendeshe!
 
Safi sana. Ni maamuzi tu ndugu yangu unaweza fika huko ukiamua.
pamoja na barabara mbona huwa naclock 280 kph? maana mchuma nilio nao ni 320 Kph. Ila sio barabtra zote katika nchi hii nui nyembamba na kwa kuoishana na magari mengine inabidi upunguze walao iwe 200
 
Range hapo ni hiyo autobiography. Hizo zingine hata hazieleweki.
 
Safi sana. Ni maamuzi tu ndugu yangu unaweza fika huko ukiamua.
most important ni aina ya gari. hizi za mjapani subutu!! ile 140 tu kanaanza kuyumba hasa ukikitana na semi! ila kama kitu ya jerumani!! funga madirisha weka kiyoyozi na gospel za kutosha unafika 200 hata huoni kama inatembea!!
 
hizi gari za kawaida sana unaweza pata old model hata kwa 18-20 ukiagiza
 
Safi sana. Ni maamuzi tu ndugu yangu unaweza fika huko ukiamua.
na also medereva wengi hapa tz sio madereva walifundishwa!! mtu anajifunza na autaomatic kuweka D na R basi!! akishajua anavuta mkoko na cmu juu akiwa anaendesha hapo hata 60 Kph. unaona gari kama inapaa!! kuna jamaa ana Crown lakini max speed yake ni 50 na akizidi 70 mwisho!!
 
Range Rover inasimama kuwa ni Moja ya Best SUV Cars in the World. Na asilimia 90 ya Matajiri Duniani hawakosi moja ya Version za Range Rover zilizopo hapa Chini.

View attachment 1099973

Binafsi nmefanikiwa kuwa na hizi version mbili za chini. Namba tatu na namba nne. Na juzi juzi nlipoenda Arusha nlikuwa na hiyo namba nne. Ni gari zito linalokaa vizuri barabarani. Unakanyaga mafuta mpaka 180 ila unahisi kama upo tu speed ya 90.

Wengi huwa hawajui tofauti yake na kuna jamaa yangu aliniuliza kwa nini nimenunua gari moja tofauti rangi (moja black hiyo namba nne na nyingine dark gray hiyo namba tatu) akiamini ni gari ile ile mpaka nlipomwonesha tofauti zake.

Gari haiyumbi inatulia barabarani naona pia unaweza kuona jinsi inavyo gain momentum from 0-100 speed. Na hii ni kutokana na kuwa na Horse Power kubwa. Si gari ya kuwa nayo ikiwa unafikiria fikiria mafuta. Ila ni gari yenye heshima sana hapa Duniani.

Karibuni kwenye Ulimwengu wa RANGE ROVER. Tupeane uzoefu zaidi na ushauri.
Mimi ninazo zote pamoja na hii
Image result for range rover vogue 2019
 
Mkuu hujaelezea kwanini matajiri wanapenda kumiliki gari hii, ulichoelezea zaid ni umiliki wako wa gari hizo mbili ambazo hatujaziona wala hatuzijui....tupe tips kidogo, security yake ikoje, inauwezo wa kuepuka ajali..tairi ikipasuka inajireplace...risasi kama za lissu unapona na unatoka unadunda tu...camera pande zote n.k n.k
 
Inachoniuma hii gari kila siku inazidi kupoteza muonekano wake labda hiyo autobiography kidogo..
Ndoto yangu inazidi kupotea nikija kupata mahela gari ya ndoto zangu ifakua imeshapitoza muonekano wake ndio hela zitaishia bar alafu mnaanza kunilaumu poa tu
Unanikumbusha miaka ya 2000 mwanzoni dream car yangu ilikuwa starlet kisa tu dully Sykes alikuw anakimbizia mademu mtaani. Nilipokuja Anza shika hela yangu hicho kigali kikawa kipo outdated kabsaa.
 
Back
Top Bottom