Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
Salaam wakuu!
Jana nimelala hotel kubwa tuu pale maeneo ya ubungo, sasa mda flani nikahisi njaa nikasema wacha niagize chochote. Nikachukua kitabu cha menu nikaona tropical fruits =4000tsh sasa nimeagiza nikaletewa kipande cha tikiti na ndizi moja. Wakuu hii sio fair kabisa yaani nimemind kinyama aisee.
Jana nimelala hotel kubwa tuu pale maeneo ya ubungo, sasa mda flani nikahisi njaa nikasema wacha niagize chochote. Nikachukua kitabu cha menu nikaona tropical fruits =4000tsh sasa nimeagiza nikaletewa kipande cha tikiti na ndizi moja. Wakuu hii sio fair kabisa yaani nimemind kinyama aisee.