Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWA WANAUME WENYE NDOA ZENU
Kuweni na aibu basi hao michepuko ni wachumba za watu eti mnaboa wanagharamiwa kaeni mbali nao, wanagharamiwa acheni ujinga . Mnavurugia wenzenu maisha ya watu wasiwe wanandoa .
Ulimchagua mke mwenyewe ulimchuja ukaona unaweza kuishi naye Sasa shida yanini kutwa kuhangaika na wanawake za watu eti mnawaambia nitakufungulia duka aliyekuambia nani anataka offer zenu nani kaeni na wake zenu tafadhali .. good night tumechoshwa kuhusishwa kwenye ujinga wenu basi
Dada yako kabisa uyoMleta mada anaweza kuwa ana umri gani??!.
Hebu mwambieDada yako kabisa uyo
Kwamba anifunze kuendana na beat[emoji4]Sijaisoma ila nasema kwa uchumi huu,kaa kwa kutulia tu
Wewee wanaume zetu wasituoe Kisa wao siwangeolewa na matajiri hiyo haisuSijaisoma ila nasema kwa uchumi huu,kaa kwa kutulia tu
Akutake radhi kwa kweli[emoji4]Hebu mwambie
Ila wewe njoo pm nikusute aisee hapa unaturusha sana hivi kile kibakuli nichako kweli??Kwamba anifunze kuendana na beat[emoji4]
Cha kwangu kabisa binamu,hata sijivungi[emoji4]Ila wewe njoo pm nikusute aisee hapa unaturusha sana hivi kile kibakuli nichako kweli??
ExactlyKwamba anifunze kuendana na beat[emoji4]
😆Wewee wanaume zetu wasituoe Kisa wao siwangeolewa na matajiri hiyo haisu