Hii ni kali, polisi wenye daladala wanaiibia serikali

Hii ni kali, polisi wenye daladala wanaiibia serikali

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Hii ni fedheha na ukosefu wa nidhamu wa hali ya juu. Polisi kuiibia serikali, tena kwa jinai mchana kweupe ni kielelezo cha uozo ndani ya polisi.

Mama Samia kafanya kweli katika kulitumbua jipu hilo maana limeota mizizi. Hao maafisa wahusika ni lazima wapelekwe mahakamani kwa uhujumu uchumi.
 
Hii ni fedheha na ukosefu wa nidhamu wa hali ya juu. Polisi kuiibia serikali, tena kwa jinai mchana kweupe ni kielelezo cha uozo ndani ya polisi...
Du! hakuna kitu hapa ni wale wale, jinai wanayofanya traffic barabarani kula fine na defender ziko barabarani zikuasanya 2000 kwa kila lorry usiku nchi nzima hakuna cha takukuru wala mahakama. kama walivyosema waliopita kabla yake as usual.
 
Hii utasubiri sana
Tulio na kumbukumbu , miaka ya 70 mwanzoni, Rais Nyerere alichukizwa na rushwa na utendaji mbovu wa maafisa wa juu jeshi la polisi.

Aliwafukuza wote baada ya utafiti kufanyika na kuthibitika kuwa si waaminifu kazini.
Mama Samia tunaomba afaye hivyo.

Afisa wa polisi hawezi kwenda mwenyewe, kiholela, kuchukua kwenye kituo chao mafuta ya diesel bila kuwepo mtandao wa wizi.
 
Tulio na kumbukumbu , miaka ya 70 mwanzoni, Rais Nyerere alichukizwa na rushwa na utendaji mbovu wa maafisa wa juu jeshi la polisi.

Aliwafukuza wote baada ya utafiti kufanyika na kuthibitika kuwa si waaminifu kazini.
Mama Samia tunaomba afaye hivyo.

Afisa wa polisi hawezi kwenda mwenyewe, kiholela, kuchukua kwenye kituo chao mafuta ya diesel bila kuwepo mtandao wa wizi.
Hiyo ilikua enzi ya nyerere sio sasa kwenye enzi za kuruhusiwa kula kwa urefu wa kamba
 
Hii ni fedheha na ukosefu wa nidhamu wa hali ya juu. Polisi kuiibia serikali, tena kwa jinai mchana kweupe ni kielelezo cha uozo ndani ya polisi.

Mama Samia kafanya kweli katika kulitumbua jipu hilo maana limeota mizizi. Hao maafisa wahusika ni lazima wapelekwe mahakamani kwa uhujumu uchumi.
Tatizo hao ni ndugu wa vigogo huwezi kuwafanya chochote
 
Hii ni fedheha na ukosefu wa nidhamu wa hali ya juu. Polisi kuiibia serikali, tena kwa jinai mchana kweupe ni kielelezo cha uozo ndani ya polisi.

Mama Samia kafanya kweli katika kulitumbua jipu hilo maana limeota mizizi. Hao maafisa wahusika ni lazima wapelekwe mahakamani kwa uhujumu uchumi.
Unaleta khabar nusu nusu yakhee
 
Back
Top Bottom