Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Mbona inaonekana vizuri mkuu. Ngoja nitafute video kamiliLete picha nzuri kama hizo za chin tuchangie mada vizur
Leta picha wewe, hiyo hainekani vizuriMbona inaonekana vizuri mkuu. Ngoja nitafute video kamili
Mbona hiyo ya chini haina hayo makorokoro?Mitego.
Yaani ni nyaya za kuchotea umeme kutoka kwenye nguzo kuja kwenye train.
Thread closed
😂😂😂 aise treni ya mabilioni tuwekee viatu juu?Zitakuwa za kuwekea vitu vya wamachinga ikifika kila stesheni na km una mifugo yko km kuku,mbuzi unamwekamo hpo juu
😀😀😀 ubunifu makini. Hongera awamu ya 6Sehemu ya kubarizi upigwe upepo
Mbona zingine hazina hivyo vitu na zimechongoka?Lete picha inayoonekana clear kama hiyo ya chini. Ila nadhani ni wire za kupokelea umeme labda
Haujaelewa point ya maada husìka, hivi gharama halisi ya treni inayoonekana na ahadi ya aina ya treni iliyotolewa awali vinalingana? Kweli karne hii unatumia treni ya zamani ambayo haiwezi kufika walau 200km/hr tena kwa gharama kubwa sana ambayo ingetosha kabisa kupata treni bora zaidi na ya kisasa?Fikra zako na huyo mwamba uliyemweka kwenye DP yako ni vitu viwili tofauti wewe ni wale watu wanaolazimisha kutafuta makosa ili mradi tu, Jitahidi kuwa chanya itakusaidia kwa afya ya akili yako.
Unajua gharama zilizotumika kununua hizo treni za TRC?Haujaelewa point ya maada husìka, hivi gharama halisi ya treni inayoonekana na ahadi ya aina ya treni iliyotolewa awali vinalingana? Kweli karne hii unatumia treni ya zamani ambayo haiwezi kufika walau 200km/hr tena kwa gharama kubwa sana ambayo ingetosha kabisa kupata treni bora zaidi na ya kisasa?