Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Tunaomba tafsiri ya hii 'graph'
Na mje na majibu sahihi 😀Hili nalo tukalitazame
😀😀😀 nje ya mada, vipi ulishaolewa?Unao michepuko wangapi mkuu??😃😃
Ngoja tuunde kamati kwanza tupate maokotoNa mje na majibu sahihi 😀
Utakuja ufie vifuani shauri yako😃😃… Me nishaolewa mkuu😀😀😀 nje ya mada, vipi ulishaolewa?
Nitakuoa mara ya pili 😀Utakuja ufie vifuani shauri yako😃😃… Me nishaolewa mkuu
Mbwembwe za penzi bichi bichi/linalochipukia.Nipo kwenye mahusiano na mlimbwende mmoja (mchepuko); ambaye ameamua kuwa na mimi pale mama watoto anapokuwa mbali nami kijiografia.
Nimekuwa nampa shoo za ukweli mara kwa mara, na hii imempelekea kila siku jioni lazima alazimishe tuonane.
Tangu wiki iliyopita hataki kuniachia nafasi, akitoka kwenye shughuli zake ataniuliza niko wapi?.
Nitakapokuwepo atalazimisha aje, na baadaye tutaenda nyumbani na kufanya yetu mpaka asubuhi.
Mbaya zaidi amenipa vitisho, ikitokea amenifumania, yuko tayari wote tukose.
Sasa najiuliza, hii ni kuchanganikiwa au kunogewa kwenye mapenzi?
Sasa hivi yuko njiani anakuja
Inawezekana vipi mimi na wewe wote tupitie situation moja..?? HahahaNipo kwenye mahusiano na mlimbwende mmoja (mchepuko); ambaye ameamua kuwa na mimi pale mama watoto anapokuwa mbali nami kijiografia.
Nimekuwa nampa shoo za ukweli mara kwa mara, na hii imempelekea kila siku jioni lazima alazimishe tuonane.
Tangu wiki iliyopita hataki kuniachia nafasi, akitoka kwenye shughuli zake ataniuliza niko wapi?.
Nitakapokuwepo atalazimisha aje, na baadaye tutaenda nyumbani na kufanya yetu mpaka asubuhi.
Mbaya zaidi amenipa vitisho, ikitokea amenifumania, yuko tayari wote tukose.
Sasa najiuliza, hii ni kuchanganikiwa au kunogewa kwenye mapenzi?
Sasa hivi yuko njiani anakuja
Collabo ya Pipa na mfunikoYan mchepuko hataki akufumanie😁😁😁
Mchepuko umepagawa na dudu ya yuyu ya Equation x🤣🤣Yan mchepuko hataki akufumanie😁😁😁