bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,217
Pamoja na yote,Nikajua Kuna hesabu iliyokushinda, kumbe Kuna ujinga.
Kama vipi badili title iwe KWA MAGWIJI WA MIKEKA.
kwa heading ulivyoandika, na content iliyo ndani, umetutukana wanamahesabu
Umeshalipia kodi?Habari wakuu,
Nahitaji kuweka mkeka wa match 5, option 4 , ( home,draw ,draw ya cap na away win,)
Je nitaweka mikeka mingapi? Ili mmoja utoe
Taifa lipi?Hii nguvu ungeelekeza kwenye uzalishaji mali na huduma tunaweza kufika mbali zaidi kama taifa
ππPermutation na Combination master!
Utahitaji Mikeka 120
Temana nayo haitakulipa.[emoji109][emoji109]
Ebu weka inapangikaje?ππ
Ujumbe wako yafaa ausome mtoa mada.Temana nayo haitakulipa.
Hahahah sawa mcheza kamariAcha kamari haita kusaidia kitu