Hii ni kwa mafundi wa hesabu tu!

Hii ni kwa mafundi wa hesabu tu!

Hujaeleweka unahitaji nn, kama ni odds 5 kwa hzo option 4 or idadi ya mikeka
Nataka nicheze match 5 , ila option 4 badala ya 3, je natakiwa kucheza mikeka mingapi,ili mmoja utoe?

Na arrangement yake inakujae,maana kwa match 5 option 3, inakuja mikeka 243,

Na inapangika hivi 11111, 1111X , kwa option 4 inakuaje?
 
Sasa hivi binomial theorem akaja sasa yule kuku sio yule mkubwa Ila hapo hapo Magomeni njia ya Kigogo karibia kabisa hutaelewa.
Akasema haitawezekana till further notice.
 
Sasa hivi binomial theorem akaja sasa yule kuku sio yule mkubwa Ila hapo hapo Magomeni njia ya Kigogo karibia kabisa hutaelewa.
Akasema haitawezekana till further notice.
Leta majibu
 
Unataka kuweka sh ngapi?
Tim tano hizo kwa walio serious zinapaswa zikupe odd 3 mpaka 5 max.

Kisha weka elfu 50
 
Sijui sana kuhusu hiyo chaguzi draw cap maana si mtaalamu sana wa kubeti japo nimemuelewa mdau aliyenielewesha kuihusu hapo juu.
Ila kama ingekuwa unahitaji kubashiri Yale matokeo matatu tu(nyumbani,ugenini na sare) ingekuwa hivi;
Mechi ya kwanza ikiisha matokeo yanayowezekana ni ya aina tatu.Mfano kuna mechi kati ya Arsenal na Tottenham.Hapo chaguzi zilizopo ni Arsenal win/Tot lose,Draw na Arsenal lose/Tot win.
Sasa chukulia unataka ubashiri mechi mbili;
Arsenal vs Liverpool na Tottenham vs Chelsea. Chaguzi zitakuwa hivi;
Mkeka wa 1,Ars win & Tot win. Wa 2,Ars draw & Tot draw. Wa 3,Ars lose&Tot lose. Wa 4,Ars win & Tot lose. Wa 5,Ars lose & Tot win. Wa 6,Ars draw & Tot lose. Wa 7,Ars draw & Tot win. Wa 8,Ars win & Tot draw. Wa 9,Ars lose & Tot draw.
Kwa hiyo kama unavyoona kwa mechi moja ili ujihakikishie ushindi wa kula mkeka mmoja ni lazima ubashiri mikeka mitatu.Kwa mechi mbili ili ujihakikishie ushindi wa mkeka mmoja lazima ubashiri mikeka tisa.Hivyo formula ipo hivi;
Mechi moja=3¹=3.
Mechi mbili=3²=9.
Mechi tano=3^5=243.
Hivyo yafaa ubashiri mikeka 243!
242 lazima ichanike na mmoja lazima ule.
 
Vipi k
Sijui sana kuhusu hiyo chaguzi draw cap maana si mtaalamu sana wa kubeti japo nimemuelewa mdau aliyenielewesha kuihusu hapo juu.
Ila kama ingekuwa unahitaji kubashiri Yale matokeo matatu tu(nyumbani,ugenini na sare) ingekuwa hivi;
Mechi ya kwanza ikiisha matokeo yanayowezekana ni ya aina tatu.Mfano kuna mechi kati ya Arsenal na Tottenham.Hapo chaguzi zilizopo ni Arsenal win/Tot lose,Draw na Arsenal lose/Tot win.
Sasa chukulia unataka ubashiri mechi mbili;
Arsenal vs Liverpool na Tottenham vs Chelsea. Chaguzi zitakuwa hivi;
Mkeka wa 1,Ars win & Tot win. Wa 2,Ars draw & Tot draw. Wa 3,Ars lose&Tot lose. Wa 4,Ars win & Tot lose. Wa 5,Ars lose & Tot win. Wa 6,Ars draw & Tot lose. Wa 7,Ars draw & Tot win. Wa 8,Ars win & Tot draw. Wa 9,Ars lose & Tot draw.
Kwa hiyo kama unavyoona kwa mechi moja ili ujihakikishie ushindi wa kula mkeka mmoja ni lazima ubashiri mikeka mitatu.Kwa mechi mbili ili ujihakikishie ushindi wa mkeka mmoja lazima ubashiri mikeka tisa.Hivyo formula ipo hivi;
Mechi moja=3¹=3.
Mechi mbili=3²=9.
Mechi tano=3^5=243.
Hivyo yafaa ubashiri mikeka 243!
242 lazima ichanike na mmoja lazima ule.
Thanks,

Vipi kwa option 4
 
Back
Top Bottom