Hii ni kwa usalama au ni mbwembwe?

Ali Kiba anatumia more than billion $ kwaajili ya security.....

*Ali Kiba analindwa na drones operating near King Kiba will shut down or automatically land when they come within range of the spoofer.

*Is Tricking GPS to Protect King Kiba..
A u sua???
 
Ukiwa huna hela kila anayezitumia unaona anazitumia vibaya...
 
Nyie mwacheni tu. Hela ikikata asipowalipa kazi anayo.
 
Tena mwambie mleta mada kijana wetu domo aliulizwa kuhusu uwanja a.k.a Alena aliyopafomu huko kwa mabeberu kwamba vipi... Alijibu "... serikali ikimruhusu anaweza kujenga kama ile"
Mkuu mbona kahama madale kaenda kupanga mbezi!
Ingekuwa rahisi hivyo si angeinunua tu hiyo nyumba aliyopanga.
 
Utakua hujaona ulinzi wa Jiwe ...
 
Mmmmh kila NTU na life yake
 
kuna wakati mtu unaweza kujikuza mwenyewe
 
Hao maboya wenzao si welichezea kichapo mwaka juzi kule mbopo wakiwa wamejaa costa, wanakijiji waliwachapa mapanga na misuli yao ya Gym, hao mapoyoyo tu hakuna anyejua Krav maga wala Tai kindo hapo
 
Acha alindwe, Kanisani tu penyewe wanaweka wailinzi, kwa nini wasimuachie Bwana alinde? Unaloweza kufanya fanya hata Mungu ndo anavyotaka ndo maana alitupa akiri. Tusivyoviweza yeye atatufanyia. Big up sana Domo.
 
Uzio wa umeme, mlinzi wa kimasai, mbwa mkali, tunguli na silaha za kisasa. Hakika hazifai kitu Bwana amtumapo mjumbe kuchukua roho yako....
"Just singing.."
Kwani Diamond ulinzi wake ni kujilinda dhidi ya izraili?

"Just an expression"
 
Mo Dewji katekwa kwa kukosa ulinzi, watu wakalaumu kwa nini tajiri kakosa ulinzi.

Msanii kajiwekea ulinzi, watu wanalaumu kwa nini kajiwekea ulinzi.

Vyovyote utakavyofanya watu watalaunu.

Bora uishi unavyotaka, wakikulaumu iwe kwa sababu unefanya kitu unataka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…