Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzio wa umeme, mlinzi wa kimasai, mbwa mkali, tunguli na silaha za kisasa. Hakika hazifai kitu Bwana amtumapo mjumbe kuchukua roho yako....
"Just singing.."
A u sua???Ali Kiba anatumia more than billion $ kwaajili ya security.....
*Ali Kiba analindwa na drones operating near King Kiba will shut down or automatically land when they come within range of the spoofer.
*Is Tricking GPS to Protect King Kiba..
Nyie mwacheni tu. Hela ikikata asipowalipa kazi anayo.Hivi mtu mmoja anajiwekea ulinzi kama huu kweli, inamaana gani?
Ni kwa ajili ya usalama au ni mbwembwe na kulewa umaarufu?
Nakukubali sana Domo ila hapa sikuungi mkono....sawa sawa na Harmonize aliyeenda Msibani na Mabodigadi na brich juu,siti ya kwenye party kavaa msibani...
View attachment 1185376
una picha ya hao makerubi mkuu uturushieMungu mwenyewe kiti chake kimezungukwa na makerubi, jiulize Mungu ana haja ya kulindwa? Vipi kwa binadamu?
Mkuu mbona kahama madale kaenda kupanga mbezi!Tena mwambie mleta mada kijana wetu domo aliulizwa kuhusu uwanja a.k.a Alena aliyopafomu huko kwa mabeberu kwamba vipi... Alijibu "... serikali ikimruhusu anaweza kujenga kama ile"
Hivi mtu mmoja anajiwekea ulinzi kama huu kweli, inamaana gani?
Ni kwa ajili ya usalama au ni mbwembwe na kulewa umaarufu?
Nakukubali sana Domo ila hapa sikuungi mkono....sawa sawa na Harmonize aliyeenda Msibani na Mabodigadi na brich juu,siti ya kwenye party kavaa msibani...
View attachment 1185376
Mmmmh kila NTU na life yakeHivi mtu mmoja anajiwekea ulinzi kama huu kweli, inamaana gani?
Ni kwa ajili ya usalama au ni mbwembwe na kulewa umaarufu?
Nakukubali sana Domo ila hapa sikuungi mkono....sawa sawa na Harmonize aliyeenda Msibani na Mabodigadi na brich juu,siti ya kwenye party kavaa msibani...
View attachment 1185376
Maybe dudanNadhani hapo yuko Burundi kwenye hii ziara ya juzi
kuna wakati mtu unaweza kujikuza mwenyeweHivi mtu mmoja anajiwekea ulinzi kama huu kweli, inamaana gani?
Ni kwa ajili ya usalama au ni mbwembwe na kulewa umaarufu?
Nakukubali sana Domo ila hapa sikuungi mkono....sawa sawa na Harmonize aliyeenda Msibani na Mabodigadi na brich juu,siti ya kwenye party kavaa msibani...
View attachment 1185376
ukiwa huna shida ya kula utahitaji ulinzi madhubuti, ila kama hela ya dona ni shida hapo utaona upuuzi tu. Acha hela itumike kwa kadri mwenyenazo anavyopenda
Pesa yake anaitafuta kwa jasho mkuu wacha ailinde,sio wote wanaopenda wala kufurahia mafanikio yako
Kwani Diamond ulinzi wake ni kujilinda dhidi ya izraili?Uzio wa umeme, mlinzi wa kimasai, mbwa mkali, tunguli na silaha za kisasa. Hakika hazifai kitu Bwana amtumapo mjumbe kuchukua roho yako....
"Just singing.."