Hii ni kwa usalama au ni mbwembwe?

Sikuhizi kumezuka tishio la watu wanaojiita wasiojulikana,siyo vibaya kujiwekea ulinzi madhubuti Kama nafasi yako inaruhusu,naunga mkono Mond kujiwekea ulinzi.
 
Ali Kiba anatumia more than billion $ kwaajili ya security.....

*Ali Kiba analindwa na drones operating near King Kiba will shut down or automatically land when they come within range of the spoofer.

*Is Tricking GPS to Protect King Kiba..
Wewe unawaza utimu wenu basi
 
Atakuwa kaiga toka uongozi wa juu wa Nchi.
 
Alikiba ana walinzi wake sema hapendi kujionyesha
Mmmmmmm mm yale Yale ya mtu anakanyaga kwa mguu Kutoka ferry alikonunua samaki anatembea kwa miguu huku kajitwika kapu lake la samaki hadi mbagala hapandi hata daladala kachoka halafu anasema ana hela ila hataki kujionyesha
 
Je umemuona Mo na hao walinzi?
Mo alichukuliwa na fido dido kwa sababu anazozijua yeye
 
Je umemuona Mo na hao walinzi?
Kuna matajiri wabahili balaa Yaani kuajiri hata muosha gari sehemu akipaki ampe hata elfu Moja tu amwoshee hayuko tayari.Kahela ambako kangeongeza mzunguko kwa mosha gari kupata hela ya chai Mia tano kunywa kwa mama nitilie na nauli Mia tano.Mwacheni diamond aendelee
 
Vip wenye mbwa kumi,wamasai wawili?, hapo utofauti ni gharama tu
 
ukiwa huna shida ya kula utahitaji ulinzi madhubuti, ila kama hela ya dona ni shida hapo utaona upuuzi tu. Acha hela itumike kwa kadri mwenyenazo anavyopenda
Hivi Diamond platinum na Bakhresa nani mwenye hela nyingi? Sababu bakhresa ana bodyguard mmoja tu na akitoka kusali ombaomba wanavyo mzunguka hatari. Juzi nilikuwepo zenji nikakutana na mdogo wake Salum Bakhresa anaitwa Ahmed Bakhresa yupo peke yake hana hata rafiki achilia bodyguard. Ukipata pesa itumie lakini usiitumie kishamba


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Zinasaidia wakati mwingine...
Hapo hata kama Mtu alikuwa na nia ovu... Anarudi kwao anaku..nya then analala.
Tena bonge la kimba[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo ni Rwanda mkuu sio Moshi
 
Acha alindwe, Kanisani tu penyewe wanaweka wailinzi, kwa nini wasimuachie Bwana alinde? Unaloweza kufanya fanya hata Mungu ndo anavyotaka ndo maana alitupa akiri. Tusivyoviweza yeye atatufanyia. Big up sana Domo.
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ 😁 😁 😁 😁
 
Je umemuona Mo na hao walinzi?
Mo alichukuliwa na fido dido kwa sababu anazozijua yeye

Guru alisema Suckers need bodyguards.

Na yeye siku moja watoto wa kihuni wa hapo Queens wakamuotea anatoka studio wakamfanyizia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…