Hii ni kwa usalama au ni mbwembwe?

Hii ni kwa usalama au ni mbwembwe?

Zote hizo ajira watu wanaongeza kipato mwenye uzio wa umeme anapata riziki,Masai anapata riziki,mtoa tunguli anapata riziki,muuza silaha na mlinzi mwenye silaha anapata riziki.Pesa Yake SI unaona inavyofaidisha watu wengi Hadi huyo mbwa mkali naye anapata riziki Yake.Angalia riziki alivyomwaga.Tusiwe negative tu kwa kila kitu.Hao wanaopata riziki ujue Wana familia Hivyo midomo kibao inapata kula hapo
Kwaiyo ndio kale kamsemo ka riziki mafungu saba eet
 
Hivi mtu mmoja anajiwekea ulinzi kama huu kweli, inamaana gani?

Ni kwa ajili ya usalama au ni mbwembwe na kulewa umaarufu?

Nakukubali sana Domo ila hapa sikuungi mkono....sawa sawa na Harmonize aliyeenda Msibani na Mabodigadi na brich juu,siti ya kwenye party kavaa msibani...

View attachment 1185376
Safi Sana Diamond mtanzania mwenzetu kwa kutoa ajira kwa walinzi .
 
Kibiashara yupo sahihi kabisa, lazima ujikuze kuongeza thamani. Kiusalama hakuna kitu hapo.
Kiusalama pia muhimu nakumbuka kuliwahi tokea mtafaruku wa saida karoli Kati ya mapromota wawili mmoja akamshikilia saida karoli akashindwa kufanya onyesho Uganda .Watu waweza mteka wakadai mamilioni .Diamond Ni international figure hawezi tembea bila walinzi
 
ukiwa huna shida ya kula utahitaji ulinzi madhubuti, ila kama hela ya dona ni shida hapo utaona upuuzi tu. Acha hela itumike kwa kadri mwenyenazo anavyopenda
Tena mwambie mleta mada kijana wetu domo aliulizwa kuhusu uwanja a.k.a Alena aliyopafomu huko kwa mabeberu kwamba vipi... Alijibu "... serikali ikimruhusu anaweza kujenga kama ile"
 
Hizo redio call wamebeba kama pambo tu, maana hizo redio call zina limitations, mnara hauwezi kuwa madale wako moshi wawasiliane, huwa zinakumika na kampuni za ulinzi na polisi,mining etc...but wa moshi hawezi wasiliana na control room ya dar kulingana na umbali, Wasitufanye wajinga ,Wapeleke ushamba wao huko!
 
Kwa hali ya sasa ni vizuri mtu ukajilinda. Binadamu wamekuwa na roho mbaya sana, vijicho.
Upo sahihi kabisa yani watu hawafai.
Mi mwenyewe nikiwa na hela ulinzi kila kona.
Yani israel tu ndio anichukue sio malofa.
 
Back
Top Bottom