Hii ni kwa wana-Simba wanaoijua football

Hii ni kwa wana-Simba wanaoijua football

CARIFONIA

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
616
Reaction score
1,453
Naona maneno ni mengi kila mtu anajaribu kuongea anachokijua, hila kwa wanasimba wanaoijua football vizuri sidhani kama watakua wanaumia na matokeo haya

Wanasimba wanajua kua wapo kwenye kipindi cha mpito bado wanatengeneza timu, na wanasimba wote wanajua hichi kitu, tatizo naona lilikuja mara bahada ya Simba kushinda hizi gemu, simba waliposhinda ile gemu na walibya then na ushindi walioupata kwa Azam hizi gemu zilifanya bahadhi ya mashabiki wa simba waamini kua tayari wameshapata timu ya kuwapa vikombe na kumfunga mtani wakasahau kwamba bado wanajitafuta.

Leo naona wanatoa povu kibao mara wamulaumu mwamuzi wengine wanamlaumu kipa, ukweli ni kwamba simba bado mnajitafuta, mkijua hiki kitu kitawasaidia sana, msitake kujiweka level moja na Yanga kwa sasa hawa jamaa wamewapiga gepu.

Bado mna mda wa kutengeneza timu yenye ushindani punguzeni pressure kwa wachezaji wenu na viongozi na mtambue bado mnatengeneza timu hii itawasaidia.
 
Mbona msimu wa mwisho wa Nabi mlitupiga 2 bila na maisha yakaendelea.

Hatukushikana uchawi kama mnavyofanya nyie.
Mashabiki wa Simba tumekubali isipokuwa wachache wanaotetea ugali wao na mashabiki wa Yanga ambao furaha yao wamewekeza kwa huzuni ya mashabiki wa Simba badala ya ushindi wa timu yao.
 
Yanga punguzeni malalamiko na ushauri. Siku mkifungwa nyinyi itakuaje kama mnashinda ila mimada kibao.
Ndio mafanikio yao hayo bloangu,kuifunga Simba,wanakuaga excited sana,hawajiaminigi kabisa,🤣🤣🤣🤣
 
Yanga punguzeni malalamiko na ushauri. Siku mkifungwa nyinyi itakuaje kama mnashinda ila mimada kibao.
Yani mashabiki wa uto wanajiona kama wana akili sana😁
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Usiwafariji hamna timu pale, hamna kujenga wala kubomoa.
Tajiri na viongozi wao waache janja janja wasajili quality players sio hao watoto wanarukaruka tu.
 
Wanasema timu yao ni kali lakini wakishiifunga Simba wanakuaga excited hadi unashangaa,😅😅😅
Halafu wakishashinda wana mada nyingi hao. Ukute hata wanalipa watu waanzishe hizi mada, kama walivyolipia bango.
 
Back
Top Bottom