MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Kwa hyo kama ni relevant na topic nliogusia hicho ulichokiongea Kwa hiyo hii ndo sababu inawafanya muwe mungu wa pili?Ni very relevant anayetafuta hashind jf dude
Kutwa kuanzisha vithread vya kutafuta umaarufu kunuka juu ya wanawake
Inaonyesha hana kazi period
Kwa sababu kuna vijamaa vinashinda juu ya vifua vya wanawake vpo humu mda wote havina kazi ?
Hivi sjui umenielewa [emoji23] [emoji23] I quote your views na nilijaribu kujibu au ku argue na wewe based on your views uliposema
"wanawake ni mungu wa pili ""sipo interested na Mada inayoendelea humu ndani ila naona unanichanganyia mafaili kutoka Mada ya humu ndani