Habari,
Nina wiki tatu Tanzania kutokea South America toka nifike hapa home nimeona mambo ya ajabu sana, nimetongeza demu amenikubalia na kunipga mzinga ndani ya siku ya tatu ya mahusiano nikamuacha nikaona hafai.
Nikampata mwingine naye kanipiga mzinga wa pesa ndefu ndani week moja na now Am give up bora nioe tu mademu wa Latin America ambao wana real love hawana mizinga kama bongo jamani hata kama vyuma vimebana sikihivyo.
Nina wiki tatu Tanzania kutokea South America toka nifike hapa home nimeona mambo ya ajabu sana, nimetongeza demu amenikubalia na kunipga mzinga ndani ya siku ya tatu ya mahusiano nikamuacha nikaona hafai.
Nikampata mwingine naye kanipiga mzinga wa pesa ndefu ndani week moja na now Am give up bora nioe tu mademu wa Latin America ambao wana real love hawana mizinga kama bongo jamani hata kama vyuma vimebana sikihivyo.