Hii ni kweli au ni imani yetu tu? (wakubwa tu)

Hii ni kweli au ni imani yetu tu? (wakubwa tu)

Dawa ya ukimwi ni kuacha uzinzi oa au olewa ukae na mumeo / mkeo kwa amani.[/QUOTE
Be scientific, jibu swali, this is basic science question. Acha mambo ya morals.... tunajua kuwa kuna amri ya sita, lakini we want science behind this hypothesis!!!!!!!!!!!!!!
 
avatar18566_4.gif
Mkuu mrudishe yule jamaa mwingine alikuwa anafaa na anpendeza zaidi, yaani yule ndio Katavi wa kweli huyu naona amesingiziwa
Ahahahaah!! Nitamrudisha...
 
Dawa ya ukimwi ni kuacha uzinzi oa au olewa ukae na mumeo / mkeo kwa amani.[/QUOTE
Be scientific, jibu swali, this is basic science question. Acha mambo ya morals.... tunajua kuwa kuna amri ya sita, lakini we want science behind this hypothesis!!!!!!!!!!!!!!


Abstinence is highly scientific my dear. Angalia usichekwe kuiponda hiyo, na kama unaendelea kubisha wee endelea kufanya tu. "Mtoto akichezea wembe..."
 
Hivi...is it just me or...? Mbona swagga za FaizaFoxy kama vile zimefanana na zile za heroine wangu, the one and only, always imitated but never duplicated, my beloved in-law, Mwafrika wa Kike....
 
As we all know, friction cause injuries when doing the thing in a normal or other way.If woman has enough oil (nature one) it reduce possibilities of getting friction but its not 100% sure . when doing the other way, most of the time its so dry, there is no nature ointment back there, so the risk of injuries in there is high, there is special oil which has no petroleum can be used to be in safe side. (KY).
 
Unaingia kwenye Grid ya Taifa baada ya kupata ajali ya kukatwa au kujikata na zana yako ya kilimo bila kujali unalima ukiwa Dodoma au ukiwa Bukoba. Kukatwa au kujikata huko kuna sababisha mkutano wa moja kwa moja kutoka kwa mkulima mwenzio na kama mmoja yuko ndani ya Grid bila shaka huyo wa pli naye anaunganishwa automatically.
 
Nyie si mnapenda mnato, mtajijuu!
mie jina lako tu Foxy..ujue nini..,mie napendaga fwakafwaka,vp ss inakuwaje!..Fwakafwaka fwakafwaka fwakafwaka fwakafwaka fwakafwaka fwakafwaka mpaka kuna kucha..
 
Inasemekana mkulima au wakulima wawili wenyejinsia 2 tofauti....kama analima au wanalima bila kuvaa buti miguuni kwenye shamba la topela fwaka...fwaka...fwaka ni vigumu sana kupata ukimwi hata kama watalimana kwa saa moja au hata mawili. Na pia inasemekana kama watalimana kwenye shamba la udongo mgumu uliokauka nato...nato...nato bila kuvaa buti ni rahisi sana kupata ukimwi hata kama watalimanakwa dk 2 au hata dk 1. - Je, hii ni kweli au ni imani yetu tu?...... Haya wakubwa wote karibuni tuidadavue hii kitu....watoto wote mkacheze nje
we acha ushamba na miheshima ya uoga, kulima mtu utapate ukimwi, au kushea majembe ya kupalipalia mahindi shambani kupitia majembe kunasambaza ukimwi?
 
unatafiti yoyote ya kuthibitisha hilo? kwani hujui maji ni uhai kila mtu anapenda maji
 
mie jina lako tu Foxy..ujue nini..,mie napendaga fwakafwaka,vp ss inakuwaje!..Fwakafwaka fwakafwaka fwakafwaka fwakafwaka fwakafwaka fwakafwaka mpaka kuna kucha..

We "pendaga" tu, ukiyakanyaga ndio utaijua "fwaka fwaka " ndio nini!
 
Back
Top Bottom