Hii ni mimba au??

Hiyo yaweza kuwa sio mimba dada, fanya uende hospital tu kucheck magonjwa mengine lkn hio c mimba, unaweza ukakaa ata miez miwili usiione hedhi, kutokuiona hedhi c kigezo km unamimba ni hofu ulionayo ambayo inakufanya ushindwe kuona siku zako....
 
mna misuse colgate.kwani meno hayo au?vipi kama ungepata rangi nyekundu si ndiyo ungedata kabisa
 
Ukatega papa danger days,ukashindwa kununa emergency pills, yanaanza kukukuta unashindwa nunua UPT ya 500/1000, endelea tu na local methods hizoo

Njoo nikufanyie MVA nipate ela ya wine na supu asbh japo dhambi ya kuua n kubwa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…