Hii ni mimba au??

Hii ni mimba au??

UPT is 500/1000 huwa haidanganyi unless upime in less 2 weeks. Au uwe na low level of HGC hormones haitaonekana
Habarn jamani
Nilipima mimba kupitia njia ya kukojoa kwenye kopo halafu nikatia Colgate kidogo sasa ikabadilika Na kua Rangi ya maziwa sasa jamani hapo ndiyo sielewi kama IPO au haipo Na siskii dalili ya kubleed Na tarehe yangu ya bleed ni 9 au 10 sasa sioni dalili maana dalili hua nazipata ikifika tarehe 1 kamili
 
Habarn jamani
Nilipima mimba kupitia njia ya kukojoa kwenye kopo halafu nikatia Colgate kidogo sasa ikabadilika Na kua Rangi ya maziwa sasa jamani hapo ndiyo sielewi kama IPO au haipo Na siskii dalili ya kubleed Na tarehe yangu ya bleed ni 9 au 10 sasa sioni dalili maana dalili hua nazipata ikifika tarehe 1 kamili
Kipindi una duu mbona hukuja kuuliza, Ni MIMBA NDIO[emoji23]
 
Sijapanga kuzaa saivi kwakweli ila sijui kama IPO au haipo kopo lilikuq Na Rangi ya maziwa
Hio njia ya kuchanganya makologeti sio ya uhakika kukupa jibu sahihi, jitahidi uende kupima katika zahanati yoyote iliyo karibu, na kama unaogopa kupokea majibu basi mimi nipo tayari kujitolea kukusindikiza pamoja na kukufariji.
 
Hio njia ya kuchanganya makologeti sio ya uhakika kukupa jibu sahihi, jitahidi uende kupima katika zahanati yoyote iliyo karibu, na kama unaogopa kupokea majibu basi mimi nipo tayari kujitolea kukusindikiza pamoja na kukufariji.
Sawa naenda saivi
 
Back
Top Bottom