Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IDD AMIN DADAHuyo ni nani aliyebebwa?
Nimecheka
People must love their learder!Aliitisha mkutano wa wafanya biashara na maofisa wa ubalozi wa Uingereza. Akaamrisha wambebe
Huyu mwamba nilikuwa namkubali sana sema historia ya uongo inamchafua nyuma ya pazia
Ipi sasa, kwamba hakuvamia Kagera na kudai ni sehemu ya Uganda? kwamba hakuua Wapinzani wake?Huyu mwamba nilikuwa namkubali sana sema historia ya uongo inamchafua nyuma ya pazia
Ndio maan nikasema historia mnazosoma zinawadanganya ova sitak mjadala zaidIpi sasa, kwamba hakuvamia Kagera na kudai ni sehemu ya Uganda? kwamba hakuua Wapinzani wake?
labda kama zile za kuua mwanaye hata mimi siziaminiamini.
Malkia aliomba pooo.įAfter a state banquet at Buckingham palace he told the queen, when you come to Uganda I will revenge.
Kuna zilizoongezwa chumvi lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa jamaa huyu alikuwa mtata.Ndio maan nikasema historia mnazosoma zinawadanganya ova sitak mjadala zaid
Alijaliwa kupata watoto 45 katika uhai wakeUkiangalia ile Documentary Idd Amin ndio utajua alikuwa mtata.[emoji16][emoji16][emoji1787] alafu chizi. Kuna sehemu ana sail na boti mtoni anaona mamba anasema they know me, anaongeza kumwambia Mtangazaji "ask them".
Ila alikuwa talented, kauli zake zingine na mzee Magu. Sawasawa[emoji1787][emoji1787]