Dumelang
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 3,204
- 5,710
Dah yule jamaa alikuwa noma sana, UG wanapaswa kumuenzi mo matter how he was
Alijaliwa kupata watoto 45 katika uhai wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alijaliwa kupata watoto 45 katika uhai wake
His Excellency, President for Life, Field Marshal, Al Hadji Doctor, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular.Idi Amin DadaHuyo ni nani aliyebebwa?
Rafiki yangu Mganda aliwahi kuniambia swali la mtihani linaweza kuwa taja majina na vyeo vya raisHis Excellency, President for Life, Field Marshal, Al Hadji Doctor, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular.Idi Amin Dada
[emoji23][emoji23][emoji23]sio Idi amini huyu
Yaani mitihani ya Uganda?Rafiki yangu Mganda aliwahi kuniambia swali la mtihani linaweza kuwa taja majina na vyeo vya rais
His excellency, President for Life, Field Marshal Al Hadj Doctor Idd Amin Dada, VC, MC, DSO, Lord Of All the Beasts of The Earth and Fishes Of The Sea and Conqueror of British Empire in Africa in General and Uganda in Particular.
Huyo ni nani aliyebebwa?
Mtu pekee kuwaadabisha wazungu duniani kwamkuweka na evidence Waganda huwa wanajivunia sana huyu mtu
Alikuwa na wake wangapi?Alijaliwa kupata watoto 45 katika uhai wake
Alilewa Udikteta sana kama ni hivyoYeye hata shemeji mdogo wa mke wake akija kutembea alitafuna na hakuwahi kukataa damu yake
Unapenda dictator weweHuyu mwamba nilikuwa namkubali sana sema historia ya uongo inamchafua nyuma ya pazia
Hao ni watoto hawajui kitu wanaandika tuIpi sasa, kwamba hakuvamia Kagera na kudai ni sehemu ya Uganda? kwamba hakuua Wapinzani wake?
labda kama zile za kuua mwanaye hata mimi siziaminiamini.
HahaahIdd Amin ndio role model wa Magundu maana hata Idd Amin alikuwa hajui English
Hata wewe historia unayoambiwa ni ya uwongoNdio maan nikasema historia mnazosoma zinawadanganya ova sitak mjadala zaid
Huyo mtoto kuna watu wanamdanganya mkuuKuna zilizoongezwa chumvi lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa jamaa huyu alikuwa mtata.
Ipo interview yake mwenyewe anaelezea jinsi atakavyoipiga Israel..sasa mwenyewe waweza kupata picha alikuwa Mtu wa aina gani.
Story za vijiweniHuyu jamaa alimkamata mwandishi wa habari toka majuu alikuwa mwanamke
[emoji117] Kwanza akimnanihiii
[emoji117] Halafu akampiga mhuri wa moto papuchi kwa initial za jina lake. I.D
[emoji117] Alimuacha aende zake
Kama yuko hai papuchi yake akiiangalia anamkumbuka kidume