kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,340
- 12,055
Tha last King of ScotlandHuyo ni nani aliyebebwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tha last King of ScotlandHuyo ni nani aliyebebwa?
Wasihofu wataona kama yale maana ndo tunakoelekea...Vijana wadogo ni wengi humu. Hawakuwepo kabisa enzi hizo.
Tunakoelekea wewe na nani?Wasihofu wataona kama yale maana ndo tunakoelekea...
leo nilikuwa nacheki TBC jiwe alipowaita wale wagunduzi ikulu kuna sehemu alisema He don't care kiuhalisia He inaendana na doen't sio dont nimeprove kweli mheshiwa hayuko good in englishIdd Amin ndio role model wa Magundu maana hata Idd Amin alikuwa hajui English
Kuna Siku utamsikia akiyasifia makangability of not timeleo nilikuwa nacheki TBC jiwe alipowaita wale wagunduzi ikulu kuna sehemu alisema He don't care kiuhalisia He inaendana na doen't sio dont nimeprove kweli mheshiwa hayuko good in english
Hii si kweli hata kidogo. Tamasha hii ilipangwa na Bob Astles. Astles alikuwa Mwingereza aliyebaki Uganda baada ya ukoloni akashiriki na serikali ya Obote na kuendesha biashara zake. Alimwoa Mganda kutoka ukoo wa kifalme. Alikuwa na shamba la mananasi. Amin aliposhika utawala 1971 akamtupa gerezani, akamwachisha baadaye. 1975 Amin alimtaka mshauri kwa mawasiliano na nchi za nje akamchagua Astles. Astles alijitahidi sana kumbembeleza Amin kwa kila namna.Aliitisha mkutano wa wafanya biashara na maofisa wa ubalozi wa Uingereza. Akaamrisha wambebe
Kwani kuelezea kuipiga Israel kuna ubaya gani?!Kuna zilizoongezwa chumvi lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa jamaa huyu alikuwa mtata.
Ipo interview yake mwenyewe anaelezea jinsi atakavyoipiga Israel..sasa mwenyewe waweza kupata picha alikuwa Mtu wa aina gani.
doen't = doesn'tleo nilikuwa nacheki TBC jiwe alipowaita wale wagunduzi ikulu kuna sehemu alisema He don't care kiuhalisia He inaendana na doen't sio dont nimeprove kweli mheshiwa hayuko good in english
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]After a state banquet at Buckingham palace he told the queen, when you come to Uganda I will revenge.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Malkia aliomba pooo.į
Usijali mimi ni mhenga, habari hii ni sahihi.Hahahha! Hivi ni kweli jamani? Ninaomba source ya hii taarifa ili niweze kuwachokoza vizuri wazungu
Aliitisha mkutano na wafanyabiashara?! Ulifanyikia wapi?Aliitisha mkutano wa wafanya biashara na maofisa wa ubalozi wa Uingereza. Akaamrisha wambebe
Amin alitawala miaka nane Uganda. Si uongo Amin aliua wapinzani na watu waliokuwa tishio kwake.Hio Cip yake ilimuudhi wakwanza mzee mnafik Nyerere kwasbb alijikomba saana kwa waingereza,***** Iddi Amin alikuwa mwanaume lkn kwa unafik wa kamzee mchonga wakaanza kumpakazia “Oohh dikteta’” Oohh anaua wananchi wake “ohh anatawala kimabavu
Hakujuona yeye Huyo mzee mchonga alitawala miaka mingapi Tz[emoji38]hadi kakaambiwa mzee achia vingenevyo,,,,[emoji3]
Wakati Amini hakutawala hata miaka mi5
Papo hapo kamzee mchonga hakakujiona kalivotaifisha mali za wananchi wake na kuidudimiza uchumi wa nchi yake kwa kuwatuhumu watu wake wahujumu wa uchumi
Tena kawashkuru hao wazungu vingenevyo vita vya Uganda maji yalikua shingoni[emoji3]kalishazidiwa saana lkn mabeberu A,k,A Wahisani wakampiga tafu[emoji3]
HUYU NI IDDI AMINI DADA