Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,482
- 3,999
Yunatofautina mm watoto watatu na mama yao wananitoa jasho hadi nataka kutoroka haaaaaaAlijaliwa kupata watoto 45 katika uhai wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yunatofautina mm watoto watatu na mama yao wananitoa jasho hadi nataka kutoroka haaaaaaAlijaliwa kupata watoto 45 katika uhai wake
Umeshaiona mobi ya Misisispi Masala UgandaAmino alitawala miaka nane Uganda. Si uongo Amin aliua wapinzani na watu waliokuwa tishio kwake.
Mjomba wa rafiki yangu alikuwa masomoni Uingereza wakati Amin anaingia madarakani. Baba yule alisoma PhD ya Horticulture. Alipo Rudy alikuwa mmoja wa maofisa waandamizi wizara ya kilimo.
Siku moja kwenye kikao aipishana na rais kwenye sera za kilimo. Baada ya kikao akiwa anarudi nyumbani. Kilichomuokoa ni kuwa mtoto wa dada wa mkewe alikuwa usala was taifa. Alimwambia MSN’s yake mdogo amkimbize Baba mdogo mara moja nje ya nchi anauwawa usiku wa Leo.
Mama mdogo alikodi tax mumewe akiwa kwenye booth ya gari mpaka wanavuka mpaka wa Kenya.
Walikimbilia Uingereza ambako yule Baba alipata kazi Trinidad.
Tuliambiwa anakula mata..ko ya watu na amehifadhi vichwa vya watu na mata.ko kwa frijiIpi sasa, kwamba hakuvamia Kagera na kudai ni sehemu ya Uganda? kwamba hakuua Wapinzani wake?
labda kama zile za kuua mwanaye hata mimi siziaminiamini.
We mkorofi kweli kweli
Hebu tupia hapa vile umjuavyo,vile ulivyoisoma wewe na wengine tufaidi mkuu. Napenda sana history ya hawa miamba.Ndio maan nikasema historia mnazosoma zinawadanganya ova sitak mjadala zaid
Karibu sana
MmmmhhHuyu jamaa alimkamata mwandishi wa habari toka majuu alikuwa mwanamke
[emoji117] Kwanza akimnanihiii
[emoji117] Halafu akampiga mhuri wa moto papuchi kwa initial za jina lake. I.D
[emoji117] Alimuacha aende zake
Kama yuko hai papuchi yake akiiangalia anamkumbuka kidume
Tatizo hata sio ubaya au uzuri, tatizo sio ni Israel au wapi, tatizo ni nani anaongea hayo na wakati gani...zaidi ni kuonekana mfurahisha genge tu kuliko kuonekana unamaanisha unachoongea....kwa uchumi upi wa kujigamba hadharani unataka vita? kwa hiyo kwa akili yako dunia ilimtilia Amini maanani au walimuona anajifurahisha tu?Kwani kuelezea kuipiga Israel kuna ubaya gani?!
...America kila siku wanaelezea jinsi watakavyoiipiga Iran mbona haujalalama...au ndio mabwana zenu Israel hawapigiki ?!
Yaani wewe, picha hii ulikuwa hauijui?Huyo ni nani aliyebebwa?
Ndio mkuuYaani wewe, picha hii ulikuwa hauijui?
Kwako weweee? Siamini! Labda ulitaka kumkumbusha mleta hiyo picha, kuwa alitakiwa kuandika na jina ili wale wasiolifahamu tukio lile (lakini sio wewe) walijue!Ndio mkuu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Kwako weweee? Siamini! Labda ulitaka kumkumbusha mleta hiyo picha, kuwa alitakiwa kuandika na jina ili wale wasiolifahamu tukio lile (lakini sio wewe) walijue!
Huyo ni nani aliyebebwa?
Ndio maan nikasema historia mnazosoma zinawadanganya ova sitak mjadala zaid
Si wapinzani tu na watu waliokuwa tishio. Aliua hovyo, na zaidi aliteua wahuni kama wakubwa chini yake akiwapa uhuru kuchinja, kubaka, kupora na kuchoma. Makadirio ni nusu milioni raia wa Uganda waliouawa wakati wake.Amin alitawala miaka nane Uganda. Si uongo Amin aliua wapinzani na watu waliokuwa tishio kwake
Hasa wasomi aliwaona ni tishio kwake. Hakuna anaejua idadi kamili ya waliouliwa lakini inakadiriwa kufika laki tanoSi wapinzani tu na watu waliokuwa tishio. Aliua hovyo, na zaidi aliteua wahuni kama wakubwa chini yake akiwapa uhuru kuchinja, kubaka, kupora na kuchoma. Makadirio ni nusu milioni raia wa Uganda waliouawa wakati wake.