Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yamekuwa hayo
Tumelishwa uongo mwingi Sana kuhusu huyu Alhajji.Huyu mwamba nilikuwa namkubali sana sema historia ya uongo inamchafua nyuma ya pazia
His Excellency, President for Life, Field Marshal, Al Hadji Doctor, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular.Idi Amin Dada
Kwamba alikuwa anakula nyama za watu kisha vichwa vyao anaviweka kwenye frijiIpi sasa, kwamba hakuvamia Kagera na kudai ni sehemu ya Uganda? kwamba hakuua Wapinzani wake?
labda kama zile za kuua mwanaye hata mimi siziaminiamini.
[emoji2954][emoji2954][emoji2954] .=?
Hahaa, IDD bana. Kama nawaona walivyokua wamekasirika wasijue la kumfanya[emoji3] [emoji3]. Si wangemdondosha tu kama Bahati mbaya vileeeAliitisha mkutano wa wafanya biashara na maofisa wa ubalozi wa Uingereza. Akaamrisha wambebe
His Excellency, President for Life, Field Marshal, Al Hadji Doctor, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular.Idi Amin Dada
Wangejaribu hivyo ungekuwa mwisho wa maisha yao....[emoji1]Hahaa, IDD bana. Kama nawaona walivyokua wamekasirika wasijue la kumfanya[emoji3] [emoji3]. Si wangemdondosha tu kama Bahati mbaya vileee
[emoji2954][emoji2954][emoji2954] .=?
Worry out[emoji106][emoji106]Sorry, I wanted to quote Nduli's titles so mistakenly I skipped the whole shit.
LeaderPeople must love their learder!
Wewe historia yako uliyosoma isiyodanganya iko wapi na sisi tuisome.Ndio maan nikasema historia mnazosoma zinawadanganya ova sitak mjadala zaid
Duuh, ila jamaa alikua katili ,wazungu wakaona isiwe shida bora tukubebe tu kuliko kuuliwa[emoji3] [emoji3]Wangejaribu hivyo ungekuwa mwisho wa maisha yao....[emoji1]
Vijana wadogo ni wengi humu. Hawakuwepo kabisa enzi hizo.Story za vijiweni
Ndio nikamwambia hata kama ana mazuri, lakini siku zote ubaya ndio utavuma.Huyo mtoto kuna watu wanamdanganya mkuu
Wanamwambia amin alikuwa mtu mwema[emoji23]
Watu watakuzushia mambo kutokana na mwenendo wako mwenyewe, hawawezi tu wakakurupuka.Kwamba alikuwa anakula nyama za watu kisha vichwa vyao anaviweka kwenye friji