SI KWELI Hii ni Noti mpya ya TSH 10,000 yenye picha ya Rais Samia inayotarajiwa kuanza kutumika

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mamaeee hii nchi tuna safari mnoo imegine wakati wa chuma cha mbao watu walitaka ela ziwekwe miradi yake na chuma nae akaja tuchapishe pesa ziwe nyingi nkasema tumepatwa
 
Mzee wa pwani mwenyewe na misifa yoote ile hajawahi kutokea kwenye bango, aje kuwa maza? Fake
 
Baada ya kufutwa noti ya mia tano ya Karume sasa Wazanzibari wamekuja na noti ya elfu kumi ya kijani ya Mama Kizimkazi!!
 
🤠🤠🤠 Yaani kuna aina fulani za mawazo unaweza kuhisi mtu alikuwa kwenye hospitali ya milembe alivopata tu akapost. Mnaanzaga hivi hivi ili yafike bungeni na kwingineko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…