SI KWELI Hii ni Noti mpya ya TSH 10,000 yenye picha ya Rais Samia inayotarajiwa kuanza kutumika

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Raha ya elfu kumi ni wekundu wake.

Linoti lina marangi ya kijani kama leso ya kisukuma, halivutiii.

Wekeni marangi mekundu bhana, hata ukiyaweka kwenye waleti yananoga, ukiyachomoa unaona VEBENTENI wanamwaga udenda kama mazombi unawachapa nazo usoni tu PAAAHH, PAAAH, PAAAH, PAAAAHHH.........kifuatacho ni ITV.

Hayo marangi ya kijani wayapeleke misungwi mnatuaibisha tutaonekana wote mazwazwa, tutashindwa hata kuwanasa vibenteni.

Cc: Lamomy Mbaga Jr Extrovert cocastic ChoiceVariable Lucas Mwashambwa mshamba_hachekwi Half american dronedrake KENZY Kapeace Dejane GENTAMYCINE
 
Kuna ka utaratibu ka kuweka picha kwenye noti za Tanzania,

Ni ngumu kuweka picha ya mtu kwenye noti ya 10k

Picha ya mtu inaekwa mwisho kwenye buku.

Na ni ngumu sana kumtoa mzee baba mwenye buku lake pale kati(itachukua muda) labda buku lipotee kwenye mzunguko kama 200 ya noti ilivyopotea na Mwinyi.

Mengine ni ubatili.
 
Sasa hiyo ina tofauti gani na elfu 1? Inawezekana kuwepo kwa noti hii kwa maana mama abdul anapenda sana Sifa na mbaya zaidi anataka awekwe akiwa na ushungi wake.

Inatakiwa iwe na alama za nyota na mwezi zile za mmsikitinina pia iandikwe "alawakubari kabisa"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…