SI KWELI Hii ni Noti mpya ya TSH 10,000 yenye picha ya Rais Samia inayotarajiwa kuanza kutumika

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
eti ng'weee ng'weee hastahili na wala hana hadhi 🀣

wewe ulimpa hadhi hiyo lini na wakati unadhihaki kila siku?πŸ’

mimi sichochewi na hisia za vyama, kufuata mkumbo wala mihemko gentleman na ndio maana ni kiuongozi. kuna jamaa huko nyuma aliwahi kutaka kunirushia ngumi mkutanoni, walichomfanya wananchi hatosahau maisha yake yote 🀣

mie niko protected na wananchi bana gentleman na ndio maana akili yangu kubwa mno πŸ’
 
BOT Ishakanusha, walitoa kupima upepo. Baada ya kukutana na upinzani na madongo wameiiondoa na kujifanya kukanusha
 
Kuna hii noti ya shilingi Elfu kumi nimeiona mtandaoni je ni ha kweli?
 
Ni inferiority complex tu.Wale ndugu zetu ndo nafasi yao eti kuonyesha kuwa na wao wapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…