Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada hili ni geto la viwango[emoji2]
Mingine isingetokaLingekua bongo tena sinza, kinondoni ama makumbusho kijana ni anajiokotea michepuko npk achoke mwenyewe
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha balaa. Yaani ni full kuacha michupi yao mikubwa mikubwaaaa... na hapo awe na kasubaru kake maisha yataka nini tena?Mingine isingetoka
Mingine isingetoka kabisaLingekua bongo tena sinza, kinondoni ama makumbusho kijana ni anajiokotea michepuko npk achoke mwenyewe
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hahahaha[emoji23]Ha ha ha ha balaa. Yaani ni full kuacha michupi yao mikubwa mikubwaaaa... na hapo awe na kasubaru kake maisha yataka nini tena?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Unadhani ni rahisi hivyo kuafford kwa vijana wetu? Hapana.mageto kama haya wnaamiliki wale wanaoanza ajira. Yaan kama bank tellers hivi. Hapa ndo wanajiokiteaaaga first year wao mpk basiHizi zinawafaa wanachuo
Hivi wanawake wanaoachaga chupi na hereni kwa wanaume huwa wanafikiria nini haswa?Ha ha ha ha balaa. Yaani ni full kuacha michupi yao mikubwa mikubwaaaa... na hapo awe na kasubaru kake maisha yataka nini tena?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Security allowance[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi wanawake wanaoachaga chupi na hereni kwa wanaume huwa wanafikiria nini haswa?
hapo kwa kitanda pamefanyika kosa kidogo, ilibidi iwe juu kitanda chini kochi
Hata ukiacha wanaume vitombi hawaogopi