Hii ni nyumba ni ndogo mno ukichemsha utumbo inabidi ufungue madirisha

Hii ni nyumba ni ndogo mno ukichemsha utumbo inabidi ufungue madirisha

Chumba cha wanachuo hicho... kipo kama hiki nmewahi fika hapahapa mjini 😂

Na mademu kila siku wanapishana hapo 😎
 
Malaya hachungwi kwa kuacha tu chupi, sijui hereni wala haiogopeshi kwa wanawake malaya as long as Kuna anacho kipata basi
Yes. Huwa wanajidanganya tu. Halaf ni risky, vibinti vinavyologaga ndo akaingia hapo akakuta mchupi wako akakuloge kwa waganga huko mbona balaa. Yaan nikue hapa ndo napolala na wewe halaf nojue kuna mwingine ameingia hapo? Tutagawana chagga.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Nilivosikia utumbo nimejiuliza mara 2 n bdo nautafakari huo utumbo
 
Back
Top Bottom