miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Anakukunjia anakusanya mahaki na za wengineHata ukiacha wanaume vitombi hawaogopi
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakukunjia anakusanya mahaki na za wengineHata ukiacha wanaume vitombi hawaogopi
Malaya hachungwi kwa kuacha tu chupi, sijui hereni wala haiogopeshi kwa wanawake malaya as long as Kuna anacho kipata basi
Ponapona yako ukipika utumbo ni hiyo kitchen hood hapo juu ya jiko ndo itayokusaidia
Umeongea ukweliLingekua bongo tena sinza, kinondoni ama makumbusho kijana ni anajiokotea michepuko npk achoke mwenyewe
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Yes. Huwa wanajidanganya tu. Halaf ni risky, vibinti vinavyologaga ndo akaingia hapo akakuta mchupi wako akakuloge kwa waganga huko mbona balaa. Yaan nikue hapa ndo napolala na wewe halaf nojue kuna mwingine ameingia hapo? Tutagawana chagga.Malaya hachungwi kwa kuacha tu chupi, sijui hereni wala haiogopeshi kwa wanawake malaya as long as Kuna anacho kipata basi
Eeh, hapo kijana keshamaliza kila kitu. Na leo ndo ijumaaa. Anajiokotea zake mmoja kidimbwi anarudi naye geto kama hivyo. Asubuhi anaanza jutia[emoji23][emoji23]Umeongea ukweli
🤣🤣Eeh, hapo kijana keshamaliza kila kitu. Na leo ndo ijumaaa. Anajiokotea zake mmoja kidimbwi anarudi naye geto kama hivyo. Asubuhi anaanza jutia[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kwani kwako?Yes. Huwa wanajidanganya tu. Halaf ni risky, vibinti vinavyologaga ndo akaingia hapo akakuta mchupi wako akakuloge kwa waganga huko mbona balaa. Yaan nikue hapa ndo napolala na wewe halaf nojue kuna mwingine ameingia hapo? Tutagawana chagga.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Huko kidimbwi kuna mizigo ya kulokota mingi sana?Eeh, hapo kijana keshamaliza kila kitu. Na leo ndo ijumaaa. Anajiokotea zake mmoja kidimbwi anarudi naye geto kama hivyo. Asubuhi anaanza jutia[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Utumbo tena??Lingekua bongo tena sinza, kinondoni ama makumbusho kijana ni anajiokotea michepuko npk achoke mwenyewe
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Sanaaaaa... kwa story za vijiweni...Huko kidimbwi kuna mizigo ya kulokota mingi sana?
Mafisi ngoja tukaokote
Umesema ukichemsha utumbo lazima ufungue madirisha,itakuwa hujui sheria ya kula utumbo, lazima uuoshe kwanza, na ukumbuke utumbo hupikwa na ndizi na pia unahitaji nafasi kuuandaa
Umeona nimeandika wapi ndugu shahidi?Umesema ukichemsha utumbo lazima ufungue madirisha,itakuwa hujui sheria ya kula utumbo, lazima uuoshe kwanza, na ukumbuke utumbo hupikwa na ndizi na pia unahitaji nafasi kuuandaa