Ni hatari sana wanaume wanfanya wanawake tufanye vitu vya ajabuYes. Huwa wanajidanganya tu. Halaf ni risky, vibinti vinavyologaga ndo akaingia hapo akakuta mchupi wako akakuloge kwa waganga huko mbona balaa. Yaan nikue hapa ndo napolala na wewe halaf nojue kuna mwingine ameingia hapo? Tutagawana chagga.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Na kweli wanajitafutiaga wenyewe matatizo.Ni hatari sana wanaume wanfanya wanawake tufanye vitu vya ajabu
Mafisi tunanyandua kokote,ata porini
Ukue sasa uache kuchemsha utumbo
Hapa hakuna jibu moja aisee. Kuna wengine hapo ndo tumefika, Mungu atupe nini. Wengine ndo hivyo, hapo ni stoo. Wengi wetu kwa kukosa exposure na life letu la kijiji, hapo ni paradise. Ilimradi tu watu tunatofautiana, iwe kwa sababu za kimazingira ama vinginevyo.
[emoji28][emoji23]Ha ha ha ha balaa. Yaani ni full kuacha michupi yao mikubwa mikubwaaaa... na hapo awe na kasubaru kake maisha yataka nini tena?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Gheto la kibabe
Hapo watu wawili hawapishaniπ πHapa hakuna jibu moja aisee. Kuna wengine hapo ndo tumefika, Mungu atupe nini. Wengine ndo hivyo, hapo ni stoo. Wengi wetu kwa kukosa exposure na life letu la kijiji, hapo ni paradise. Ilimradi tu watu tunatofautiana, iwe kwa sababu za kimazingira ama vinginevyo.
Ndo ukweli wenyewe huo. Hapo baba mama kitandani,watoto wapo chini. Pakikucha godoro la watoto linahifadhiwa,panageuka sebule.Hapo watu wawili hawapishaniπ π
πππLingekua bongo tena sinza, kinondoni ama makumbusho kijana ni anajiokotea michepuko npk achoke mwenyewe
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Makumbusho siku hiz kuna totoz posta inasubiriLingekua bongo tena sinza, kinondoni ama makumbusho kijana ni anajiokotea michepuko npk achoke mwenyewe
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hivi kwanini mnaachaga chupiHa ha ha ha balaa. Yaani ni full kuacha michupi yao mikubwa mikubwaaaa... na hapo awe na kasubaru kake maisha yataka nini tena?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Utawafanya wakutupie laana, hapo walipo wanakusonya tu kwa kusema ukweli. Yaani mademu wa Bongo kwa kweli ni michoso tu.Mingine isingetoka kabisa
Ishara kwamba nitarudi kesho au baadaye kuja kukuchuna tena.Hivi kwanini mnaachaga chupi
Hahahahah kwamba ushahidi *"washapita hapo asipite mwengine"Hivi wanawake wanaoachaga chupi na hereni kwa wanaume huwa wanafikiria nini haswa?
Kidimbwi kuna "ndumbwi" wengi sana[emoji1]Huko kidimbwi kuna mizigo ya kulokota mingi sana?