miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
I think ni kutoa tahadhari kwa wanawake wengineHahahahah kwamba ushahidi *"washapita hapo asipite mwengine"
Au "nitarudi kuzichukua"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ili apate kisingizio cha kuvifuata..Hivi wanawake wanaoachaga chupi na hereni kwa wanaume huwa wanafikiria nini haswa?
Duh ujinga mtupuIli apate kisingizio cha kuvifuata..
Hahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuacha michupi, hereni, machanuo ni kama alama ili akija demu meingine ajue kina mwenzake. Yaan ni kama security hivi. Nataka kuhamishia kabati langu la nguo huko. Ni hapo nikute mtoto wa mtu amevaa kanga yangu namla mitama yeye na bwanake wote
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app