Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unitapeli tena! Kumbuka mimi ni Tumbili wa mjiniNJOO PM NIKUTAPELI
huyo mwenzako ni dume.Mshangazi kama upo singo nipe nafasi tuishi
Híli dume hili.............huyo mwenzako ni dume.
Oi kumbe ni hivyo?huyo mwenzako ni dume.
Dume hilo mkuu hakuna mwanamke mwenye shobo kiasi hicho stukaOi kumbe ni hivyo?
Stuka mkuu. huoni hizo pigo hata yeye alishajitaja kuna uziHíli dume hili.............
Infikirisha
mnapigaje hesabu kijanaI feel you.
Mwenyewe nimekesha humu sana.
Ukiaverage posts zangu humu ni 31.3/siku
Jumla ya posts gawanya kwa jumla ya siku tokea ujiunge mpaka sasamnapigaje hesabu kijana
Jf vilaza wengi siku hiziLEO natimiza post ya 1000 ndani ya jf kwa siku 58 tangu nimejiunga.
Najua ambavyo post zangu zo ni kichefuchefu kwa members wengi humu. Lakini mie ni kilaza najijua. So huwa naandika kwanza halafu nafikiria baadae.
Nilipigwa ban siku 7 nikakonda nikawa miss jf. Nimekuja ondolewa ban nkajikuta tena nimelowa na jf.
Post yangu namba 1000 hii. Ibaki hapa kumbukumbu nije nimuonyeshe mwanangu Vivian atapokuwa 18+ tayari kujiunga jf kama mie.
Na nikifa nitamrithisha ID yangu ili aendelee kuandika kama mie mama ake mumponde na mumsumbue PM hadi akili imkae vyema.
Siku 58, post 1000 reaction 3700.
Putting a mark for further revisitation.
LONG LIFE JF!!
Duh! Nilikuwa na mpango wa kumweka ndani sasa itakuwaje.Stuka mkuu. huoni hizo pigo hata yeye alishajitaja kuna uzi
ni maswala ya mlinganyo sioJumla ya posts gawanya kwa jumla ya siku tokea ujiunge mpaka sasa
Kabisani maswala ya mlinganyo sio
Huwa situmii mashoga. kaa mbali k.ma wewe. Dume zima unajifanya demuWe mdada na boxer yako unanibadilishia jinsia.
Kwani nimekuchukulia mume wako?
Amekuja na shobo sana bahati nzuri tunatumia fake IDsDume hilo mkuu hakuna mwanamke mwenye shobo kiasi hicho stuka
kazi kwelil kweli,,nawakumbusha mjitokeze kupiga kura kwenye vituo vyenu mlivyojiandikisha bila kusahau siasa ni maisha yako kesho yako iko mikononi mwenu vijanaKabis