Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
Aibu sana hii na mimi nilikua namzingua tu nilishaona kitambo huyu ni mwanaumeHuwa situmii mashoga. kaa mbali k.ma wewe. Dume zima unajifanya demu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu sana hii na mimi nilikua namzingua tu nilishaona kitambo huyu ni mwanaumeHuwa situmii mashoga. kaa mbali k.ma wewe. Dume zima unajifanya demu
Mweke ndani tu si anajizima data.Duh! Nilikuwa na mpango wa kumweka ndani sasa itakuwaje.
Thread 'Mshangazi wa JF ni Mwanaume' Mshangazi wa JF ni MwanaumeAibu sana hii na mimi nilikua namzingua tu nilishaona kitambo huyu ni mwanaume
Nikiiona hii thread, kiufupi anatafuta attention kwa lazimaThread 'Mshangazi wa JF ni Mwanaume' Mshangazi wa JF ni Mwanaume
LohAcha uvivu. Mie ningekuwa wewe miaka 11 hiyo ningekuwa na post 1000 x 6 x 11 = 66,000 !!
Wewe ni mwanaume unalazimisha tabia za Kike kiufupi wewe tukuite dem boyNdege wangu karuka mtego!
wengine tulijiunga JF kwa kutumiwa email nyingi nyingi enzi hizo hata Gmail Haina umaarufu,Bado tuko yahoo....Melo akiwa Bado anajitafuta...nshakula ban za kutosha nyingine password kusahau,ila hongera kwa kutunza kumbukumbu...Binti yako awe mzuri sasa,siyo unawaaxhia vijana demu nungayembeLEO natimiza post ya 1000 ndani ya jf kwa siku 58 tangu nimejiunga.
Najua ambavyo post zangu zo ni kichefuchefu kwa members wengi humu. Lakini mie ni kilaza najijua. So huwa naandika kwanza halafu nafikiria baadae.
Nilipigwa ban siku 7 nikakonda nikawa miss jf. Nimekuja ondolewa ban nkajikuta tena nimelowa na jf.
Post yangu namba 1000 hii. Ibaki hapa kumbukumbu nije nimuonyeshe mwanangu Vivian atapokuwa 18+ tayari kujiunga jf kama mie.
Na nikifa nitamrithisha ID yangu ili aendelee kuandika kama mie mama ake mumponde na mumsumbue PM hadi akili imkae vyema.
Siku 58, post 1000 reaction 3700.
Putting a mark for further revisitation.
LONG LIFE JF!!
Okay nmekuongeza like mshangaz wanguLikes. Thanks. Nzuri. Mshangao. Masikitiko. Dislike
Ndio mkuuHata mie yako ndo naiona leo.
Umejiunga jana?
Sawa shoga wa tandaleHaya dada. Umeshinda. Nisijekutusi ukatapika dagaa wako.
HahahaKweli jf sasa imeporomoka
Huu nao uzi tujadili