Hii ni Post yangu ya 1000 katika siku 58. Sawa na Post 17.2 kila siku.

Reaction 3700 inamaanisha nn mshangaz wangu??
 
wengine tulijiunga JF kwa kutumiwa email nyingi nyingi enzi hizo hata Gmail Haina umaarufu,Bado tuko yahoo....Melo akiwa Bado anajitafuta...nshakula ban za kutosha nyingine password kusahau,ila hongera kwa kutunza kumbukumbu...Binti yako awe mzuri sasa,siyo unawaaxhia vijana demu nungayembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…