spanerboy
JF-Expert Member
- Sep 14, 2020
- 655
- 1,460
Write your reply...
aisee itakuwa ni tozoo mpyaYaani kabwili ni kaka wa metacha..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee itakuwa ni tozoo mpyaYaani kabwili ni kaka wa metacha..
Wakifika wanakoenda wakawekwa karantini week mbili.tuanze maandalizi mapema,hawa wanyolewe ndevu zote,wanyolewe na vipara itafaa zaidi kwa mujibu wa umri wao mpya
ana twenty fulani hiiviiBaba bray kumbe ni U23
[emoji134][emoji134][emoji134]
Simba itakuua mwaka huu. Kumchukia aliyefanikiwa kumewahi kukusaidia?
Hahahahaha najua unaumia moyoni,ndio faida ya kuwa na Kocha wa Kigeni anaejielewa.Simba itakuua mwaka huu. Kumchukia aliyefanikiwa kumewahi kukusaidia?
niumie na nini?kwenye soka mimi naweza kuumia kufungwa kwa Simba tu na sio kingineHahahahaha najua unaumia moyoni,ndio faida ya kuwa na Kocha wa Kigeni anaejielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunajua,lakini hapa kuna njemba kama saba zinawajukuuMuwe mnauliza basi sio kupinga tu aya mashindano yanaongeza watu 3 wenye umri zaidi ya 23 wachezaji wenye nyota ndio hao 3 waliozidi umri
Alitaka aitwe Kennedy juma au kapombe au boko ndo angetulza kinyeo