wapi hujaelewa ulisoma Kayumba nini?Mbona hueleweki.
wapi hujaelewa ulisoma Kayumba nini kama mimi pole!!Mbona hueleweki.
ni mtazamo tu mkuu,ukitaka jua special skull ni akina nani nenda pale Coet(UD),Muhas,MZ(Baf)Mmeanza tena na ujinga ujinga wenu wa spesho skul. Fanyeni kwanza ya maana yanayoendana na uspesho ndo mje hapa la sivyo kaeni kimya kwani hamna uspesho wowote.
wapi hujaelewa ulisoma Kayumba nini?
mkuu ni mtazamo tu utake usitake hawa jamaa wanatisha haimaniishi skuli zingine hakuna sema wachache sana,kuwa shahidi kwenye chuo uliocho mtafute jamaa mmoja kutoka pande hizo mfanyie research utaona tofauti,mi mwenyewe nimesoma Kayumba kama wewe sema naliona balaa la hawa jamaa hapa CoetSpecial skul mnatumia mafuta kusoma au mnapewa boom?? Mbona hamna point ya maana uliyoandika hapa...kibaha afu iweje?? Kama huna la kufanya kamaidie mama ako kuosha vyombo kuliko kuandika pumba kama hizi..***mbavu sana...
ni mtazamo tu mkuu,ukitaka jua special skull ni akina nani nenda pale Coet(UD),Muhas,MZ(Baf)
Hawa jamaa nimewa-note kuanzia first year hadi kwenye baadhi ya department wapo aware sana na changamoto za kibongobongo alafu ni intellectual kinoma njoo Coet hapa u-prove binafsi nilisoma Feza boys na niliingia top ten ila tofauti naiona kati ya kuwa na akili na kufaulu mtihanivigezo vilivyo kufanya uione ni zaidi ya nyingine ni vpi?
wapo mkuu,na ndio maana wengine wanapata 4.5 wakati wengine wanadiscoTeh teh teh wacha maskhara bana!
Hakuna uspesho wowote hapo COET na hakuna wanafunzi spesho.
Sijakudharau mkuu hata hivyo nimeanzisha huu uzi,ila binafsi nimesoma shule ya kata,sema hawa jamaa nimekutana nao hapa chuo wengi weo ni ma-great thinker kama wewepunguza dharau kuna waliosoma shule nzuri kuzidi hiyo yako
huwezi mzuia msanii anayetafuta vina,ila mbona watu wengi wanawapinga hawa jamaa eti jamani kwa wale waliopitia MUHAS,COET na MZUMBE UNIV. watupe uzofu wetu tujilizishe"mwanangu kua uyaone elimu imekosa thamani necta imevuja kibaha"-R.O.M.A
huo ndo uspesho unaouongelea
next time reply;umejibu kwa ghazabu na matusi mengi kwa mimi mtoa mada.....na hiyo ndio tofauti kati ya hawa jamaa na wewe,they are so smart(expected leaders)Special skul mnatumia mafuta kusoma au mnapewa boom?? Mbona hamna point ya maana uliyoandika hapa...kibaha afu iweje?? Kama huna la kufanya kamaidie mama ako kuosha vyombo kuliko kuandika pumba kama hizi..***mbavu sana...
huwezi mzuia msanii anayetafuta vina,ila mbona watu wengi wanawapinga hawa jamaa eti jamani kwa wale waliopitia MUHAS,COET na MZUMBE UNIV. watupe uzofu wetu tujilizishe