Ni Kibaha sec school kwa waliosoma pale au ndugu zao waliopitia pale watakubaliana na mimi,Mzumbe,Ilboru na kilakala,Feza,Marian zote ni shule nzuri lakini hii ina cha ziada,ingekuwa vizuri kwa wadau(private) na serikali kuhakikisha shule nyingi zinakuwa kama hii,nawasilisha.