Mkuu mbona mi sijasoma special na uwezo wangu ni wa kawaida sana,alafu sijasema wote ila wengi wao ni bilaa we mwenyewe ni shahidi hapo chuoni kwako,alafu sijasema kwamba huwa hawapati below ila intellectual capacity yao ni kubwa(kufaulu sana si kuwa na akili sana;ETI WANANGOZA KULAMBA BELOW KIBAHA HAWA HAWA NINAOWAJUA MIMI DUH KWELI MAJUNGU YAPOTeh teh...niko nao chuon na wao ndo wanaongoza kulamba bellow..au wew unasemea uspecial gan...jua jib zuri hutolewa kwa swal zuri...sasa kama wewe umeleta mada ya kijinga unataka jibu zuri upeleke wap?? Mind u...uspesho miaka hakunaga..wote wanakula zero na wote wanafaul..sasa wew endelea kupiga makelele na uspesho uone utaishia wapi....
kifupi o level nimesoma kata sema Advance nilipata bahati ya kumalizia Feza;ila hata hayo maswalì unayojiuliza hata mimi ndìo point yangu ya msingi,hata hivyo sio kwamba wanaofanya vizuri wote wametoka kibaha ila hata hao wanaopiga kawaida intellectual capacity yao inanifanya niamiani kwamba kuna cha ziada kwenye ile shuleMara umesoma Feza, mara umesoma shule ya kata? Ipi ni ipi, au siku hizi Feza imekuwa ya kata?
Pili kama alivyokuuliza Lady N, unapaswa kuja na founded reasons as to why do you think there is something special about Kibaha. Kwamba COET ina wanafunzi wanaofanya vizuri na wote wanatoka Kibaha haitoshi ku-justify argument yako.
Kwa kuongezea pia unahitaji ku-justify sababu za kuifanya shule kuwa special -- kwa sababu kama Kibaha inachukuwa wanafunzi kwa kufuata utaratibu wa kawaida (conventional), kwa kutumia mitihani ile ile (kama wengine ambao hawakusoma special school) na wanafunza na walimu wa kawaida, kufuata mtaala wa kawaida; kwa kifupi they are subjected to all that is common to any other secondary school student in TZA who studies under MoEVT/NECTA system, then what makes this school stand out of the crowd?
NB:
special adj - distinguished by a unique or unusual quality (Wiktionary)
Special skul mnatumia mafuta kusoma au mnapewa boom?? Mbona hamna point ya maana uliyoandika hapa...kibaha afu iweje?? Kama huna la kufanya kamaidie mama ako kuosha vyombo kuliko kuandika pumba kama hizi..***mbavu sana...
Nitajie Great thinkers kumi tu na mchango wao walioutoa kwa taifa hili.kama hamna basi mi nadhani hao jamaa ni mabingwa wa kukariri.Sijakudharau mkuu hata hivyo nimeanzisha huu uzi,ila binafsi nimesoma shule ya kata,sema hawa jamaa nimekutana nao hapa chuo wengi weo ni ma-great thinker kama wewe
Ni Kibaha sec school kwa waliosoma pale au ndugu zao waliopitia pale watakubaliana na mimi,Mzumbe,Ilboru na kilakala,Feza,Marian zote ni shule nzuri lakini hii ina cha ziada,ingekuwa vizuri kwa wadau(private) na serikali kuhakikisha shule nyingi zinakuwa kama hii,nawasilisha.
Vipi, kwani hapajawahi kuchangia ZERO za kitaifa hapo?Ni Kibaha sec school kwa waliosoma pale au ndugu zao waliopitia pale watakubaliana na mimi,Mzumbe,Ilboru na kilakala,Feza,Marian zote ni shule nzuri lakini hii ina cha ziada,ingekuwa vizuri kwa wadau(private) na serikali kuhakikisha shule nyingi zinakuwa kama hii,nawasilisha.
We hujielew wewe...hakuna interllectual wala nin ...point yang ni kwamba uspesho ni bichwa lako si kibaha wala uchafu mwngine wowote ule..Mkuu mbona mi sijasoma special na uwezo wangu ni wa kawaida sana,alafu sijasema wote ila wengi wao ni bilaa we mwenyewe ni shahidi hapo chuoni kwako,alafu sijasema kwamba huwa hawapati below ila intellectual capacity yao ni kubwa(kufaulu sana si kuwa na akili sana;ETI WANANGOZA KULAMBA BELOW KIBAHA HAWA HAWA NINAOWAJUA MIMI DUH KWELI MAJUNGU YAPO
mimi nasoma muhas first year, yes specials ni zaidi ya nusu, mkuu kuna peoples zina challenge kupita watu wa special school japo special wametawala!natukifika huku tunauvua uspecial na u T.O wote tunakuwa sawa!unaweza ukaushabikia uspecial halafu ukadisco! H/work mtafute japhet john akuelezee zaidi telecom mwaka wa tatu akupe advice zaidi!huwezi mzuia msanii anayetafuta vina,ila mbona watu wengi wanawapinga hawa jamaa eti jamani kwa wale waliopitia MUHAS,COET na MZUMBE UNIV. watupe uzofu wetu tujilizishe
ni mtazamo tu mkuu,ukitaka jua special skull ni akina nani nenda pale Coet(UD),Muhas,MZ(Baf)
Mi shule ya msing nimesoma kijijin tena porin O'level nkachaguliwa shule ya kata. Advance nmesoma Kazima. Na sasahv nko chuo kikuu nasoma na hao vilaza wa kibaha wala cjaona cha ziada walichonacho kunishnda mimi. Hayo ni mambo ya kizaman bro, ni sawa na sasahv tunavyojsfia kusoma Udsm, lakin co kwel kwamba cc ni bora kuliko wanasoma Udom,SAUT ,St John. Intellectual capability ni ile ile. Sema huwa tunataka kuleta mizaha na mijadala mitandaon tu! Ucjaribu tena ckunyingne kuleta mada za kijnga kama hyo.
Wamevumbua kitu gani tena huko mkuu?maana sioni uspecial wao kwenye maendeleo ya technology.Labda kwenye msuli ndo nawakubali,wanapiga msuli utadhani slow learners wakati wengine tunagusa tu then tunapata vibanda.
"mwanangu kua uyaone elimu imekosa thamani necta imevuja kibaha"-R.O.M.A
huo ndo uspesho unaouongelea
hayo ndo matatizo ya sisi wabongo kuongelea mambo yasiyo na maana yoyote katika jamii.huyu aliyeanzisha hii thread kila mtihani hao wajamaa wanamchomoa so ndo ameona atuletee hapa tuone jinsi anavyoendeshwa classMi shule ya msing nimesoma kijijin tena porin O'level nkachaguliwa shule ya kata. Advance nmesoma Kazima. Na sasahv nko chuo kikuu nasoma na hao vilaza wa kibaha wala cjaona cha ziada walichonacho kunishnda mimi. Hayo ni mambo ya kizaman bro, ni sawa na sasahv tunavyojsfia kusoma Udsm, lakin co kwel kwamba cc ni bora kuliko wanasoma Udom,SAUT ,St John. Intellectual capability ni ile ile. Sema huwa tunataka kuleta mizaha na mijadala mitandaon tu! Ucjaribu tena ckunyingne kuleta mada za kijnga kama hyo.
We hujitambui...kusomea porin ni ujanja???Wee! kuna Minaki ice cool tunapiga misuli mpaka porini hatuogopi simba wala chui ©© watotowa paka