Hii njia ni sahihi kujua ukubwa wa eneo kwa heka?

Suala la ramani linahitaji uende kwa mpima ardhi, yeye ndo atakuandalia.

SUKAH
Duh, mpima ardhi anadai kuandaa hiyo ranani nimpe 150,000/ sina hiyo pesa kama kuna njia nyingine naomba nishauri..... siwezi kutumia ms. Word kuandaa ramani???
 
Duuhh !!! Sijawai kulipa hizo gharama.
 
Duh, mpima ardhi anadai kuandaa hiyo ranani nimpe 150,000/ sina hiyo pesa kama kuna njia nyingine naomba nishauri..... siwezi kutumia ms. Word kuandaa ramani???
Ms word! Hapana mkuu. Hayo ni mambo ya kitaalamu, ongea vizuri na mpima akufanyie wepesi kidogo.
Hapa itahusika arcGIS au autoCAD.
Hii ni baada ya kutembelea eneo lako na kuchukua coordinates za mipaka ya kiwanja chako.

SUKAH
 
Kwa kweli hiyo elaboration yako imeingia katikati ya ubongo wangu
Asante ndugu
 

Kwa site recconaisance tu na data check hata kwa dar es salaam huwa hawafanyi kwa dau kubwa namna hiyo. Try hizo other options kama utashindwa nipe location yako Pm ntakusaidia mtu wa karibu na ulipo akupatie sapoti juu ya suala lako
 
Duh, mpima ardhi anadai kuandaa hiyo ranani nimpe 150,000/ sina hiyo pesa kama kuna njia nyingine naomba nishauri..... siwezi kutumia ms. Word kuandaa ramani???

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] hapana mkuu, kuna softwares huwa tunatumia kuandaa hizo ramani nazo ni civil autocad 2003 au 2009
 
Ili kupata ukubwa wa eneo Kwa uhakika ni kutumia GPS upate Coordinates ambazo zitaingizwa kwenye software za kucholea ramani kama QGIS,arcGIS au nyingine hapo utapata chochote unachohitaji mfano ukubwa wa eneo, muinuko,slope, contour na vingine vingi kadri ya mahitaji yako.

Mfano hiyo ramani mtu alituma coordinates tu akitokea shambani kwake na ramani kama hiyo inaandaliwa.


 
Raha ya kumiliki ardhi uwe hata na karamani uchwara tu 😀😀😀

Mtu anitumie coordinates ni mchoree ramani ya eneo lake Bure leo Leo.

Application ya kuchukua coordinates apakue Play Store inaitwa My GPS location angalau apate coordinates kwenye Kila kona.

 
Ramani ulifanikisha Mkuu?
 
Lakini hapo kwenye 4900m square sio sahihi kuwa ni kipimo cha ekali
Kwa ufasaha kabisa kipimo cha ekali ni mita za mraba 4000 na ndio maana huwa tunasema hekta moja ni sawa na 2.5 ekali, na hekta moja ni sawa na mita za mraba 10,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…