Hii njia ya Kenya, Uganda, Rwanda na mataifa mengine hasa ya Africa kupambana na Corona inachekesha

Hii njia ya Kenya, Uganda, Rwanda na mataifa mengine hasa ya Africa kupambana na Corona inachekesha

Hi magaidi ya Danganyika watamalizwa na covid.How on Earth can you have over 150 cases in a day??? Close our borders permanently,wataanza kutoroka
 
South Africa is tem billion better than Kenya lakini they have massive Corona statistics na wana lockdown since day one

Huna la kuniambia

Nipishe.
South Africa wamepima sampuli 197,127 ndo wakapata kesi 5,000 +ve za Corona hadi sasa. Nyinyi huko Tanzania mnatangamana bila wasiwasi ilihali mmepima chini ya sampuli 15,000! Trust me, mkipima watu zaidi ya laki moja hao SA mtawawacha na mbali sana!

Marekani ulio watumia kama mfano hapo mwanzo wanakufa kwa wingi sahii kwasababu walichukulia mzaha mzaha kama nyinyi hapo awali, lakini licha ya hivyo, marekani ni nchi yenye uchumi mkubwa kabisa, Corona ikiisha wako na $4 Trillion economic stimulus package kwahivyo uchumi wao uta recover hata kama kila mtu huko atashikwa na coronana wafe 200,000, wewe keti hapo ukijaribu kushindana na ndovu kunya, kesi zenu zikizidi na watu wengi waambukizwe uchumi utazorota zaidi kuliko kama mngeweka lock down kwa mwezi mmoja tu, na corona ikiisha hamtakua na stimulus program yeyote ambayo itashindana na ya marekani.
 
Ni vitu kama huu ungonjwa utafumu kwa miezi 4 zaidi kutoka sasa ,unadhani nchi za kiafrika ikiwemo Kenya itaendelea kufungia watu?
South Africa wamepima sampuli 197,127 ndo wakapata kesi 5,000 +ve za Corona hadi sasa. Nyinyi huko Tanzania mnatangamana bila wasiwasi ilihali mmepima chini ya sampuli 15,000! Trust me, mkipima watu zaidi ya laki moja hao SA mtawawacha na mbali sana!

Marekani ulio watumia kama mfano hapo mwanzo wanakufa kwa wingi sahii kwasababu walichukulia mzaha mzaha kama nyinyi hapo awali, lakini licha ya hivyo, marekani ni nchi yenye uchumi mkubwa kabisa, Corona ikiisha wako na $4 Trillion economic stimulus package kwahivyo uchumi wao uta recover hata kama kila mtu huko atashikwa na coronana wafe 200,000, wewe keti hapo ukijaribu kushindana na ndovu kunya, kesi zenu zikizidi na watu wengi waambukizwe uchumi utazorota zaidi kuliko kama mngeweka lock down kwa mwezi mmoja tu, na corona ikiisha hamtakua na stimulus program yeyote ambayo itashindana na ya marekani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
South Africa wamepima sampuli 197,127 ndo wakapata kesi 5,000 +ve za Corona hadi sasa. Nyinyi huko Tanzania mnatangamana bila wasiwasi ilihali mmepima chini ya sampuli 15,000! Trust me, mkipima watu zaidi ya laki moja hao SA mtawawacha na mbali sana!

Marekani ulio watumia kama mfano hapo mwanzo wanakufa kwa wingi sahii kwasababu walichukulia mzaha mzaha kama nyinyi hapo awali, lakini licha ya hivyo, marekani ni nchi yenye uchumi mkubwa kabisa, Corona ikiisha wako na $4 Trillion economic stimulus package kwahivyo uchumi wao uta recover hata kama kila mtu huko atashikwa na coronana wafe 200,000, wewe keti hapo ukijaribu kushindana na ndovu kunya, kesi zenu zikizidi na watu wengi waambukizwe uchumi utazorota zaidi kuliko kama mngeweka lock down kwa mwezi mmoja tu, na corona ikiisha hamtakua na stimulus program yeyote ambayo itashindana na ya marekani.
Ninyi mbona maambukizi yenu ni sawa kabisa na yetu na mmetuzidi sababu ninyi ilianza kuchanganyia mapema sana.

Hiyo lockdown imewasaidia nini? Yaani wa kuongea ni Uganda na Rwanda tu, Kenya Corona inawacharaza Hakuna mfanowe.
 
South Africa wamepima sampuli 197,127 ndo wakapata kesi 5,000 +ve za Corona hadi sasa. Nyinyi huko Tanzania mnatangamana bila wasiwasi ilihali mmepima chini ya sampuli 15,000! Trust me, mkipima watu zaidi ya laki moja hao SA mtawawacha na mbali sana!

Marekani ulio watumia kama mfano hapo mwanzo wanakufa kwa wingi sahii kwasababu walichukulia mzaha mzaha kama nyinyi hapo awali, lakini licha ya hivyo, marekani ni nchi yenye uchumi mkubwa kabisa, Corona ikiisha wako na $4 Trillion economic stimulus package kwahivyo uchumi wao uta recover hata kama kila mtu huko atashikwa na coronana wafe 200,000, wewe keti hapo ukijaribu kushindana na ndovu kunya, kesi zenu zikizidi na watu wengi waambukizwe uchumi utazorota zaidi kuliko kama mngeweka lock down kwa mwezi mmoja tu, na corona ikiisha hamtakua na stimulus program yeyote ambayo itashindana na ya marekani.


Stop peddling nonsense.

$4 trillion stimulus package? Over 7times bigger than the size of their own GDP🤔
 
Stop peddling nonsense.

$4 trillion stimulus package? Over 7times bigger than the size of their own GDP🤔

Mambo ya kudandia majadiliano ya watu bila kusoma vizuri...... Nitaiweka tena hio comment na nikuonyeshe nchi gani iko na $4Trillion stimulus package...

----------
South Africa wamepima sampuli 197,127 ndo wakapata kesi 5,000 +ve za Corona hadi sasa. Nyinyi huko Tanzania mnatangamana bila wasiwasi ilihali mmepima chini ya sampuli 15,000! Trust me, mkipima watu zaidi ya laki moja hao SA mtawawacha na mbali sana!

Marekani ulio watumia kama mfano hapo mwanzo wanakufa kwa wingi sahii kwasababu walichukulia mzaha mzaha kama nyinyi hapo awali, lakini licha ya hivyo, marekani ni nchi yenye uchumi mkubwa kabisa, Corona ikiisha wako na $4 Trillion economic stimulus package kwahivyo uchumi wao uta recover hata kama kila mtu huko atashikwa na coronana wafe 200,000, wewe keti hapo ukijaribu kushindana na ndovu kunya, kesi zenu zikizidi na watu wengi waambukizwe uchumi utazorota zaidi kuliko kama mngeweka lock down kwa mwezi mmoja tu, na corona ikiisha hamtakua na stimulus program yeyote ambayo itashindana na ya marekani.

--------------------------


Alafu for th sake of argument, Marekani iko na GDP ya 20 Trillion!
1588617702652.png
 
Mambo ya kudandia majadiliano ya watu bila kusoma vizuri...... Nitaiweka tena hio comment na nikuonyeshe nchi gani iko na $4Trillion stimulus package...

----------
South Africa wamepima sampuli 197,127 ndo wakapata kesi 5,000 +ve za Corona hadi sasa. Nyinyi huko Tanzania mnatangamana bila wasiwasi ilihali mmepima chini ya sampuli 15,000! Trust me, mkipima watu zaidi ya laki moja hao SA mtawawacha na mbali sana!

Marekani ulio watumia kama mfano hapo mwanzo wanakufa kwa wingi sahii kwasababu walichukulia mzaha mzaha kama nyinyi hapo awali, lakini licha ya hivyo, marekani ni nchi yenye uchumi mkubwa kabisa, Corona ikiisha wako na $4 Trillion economic stimulus package kwahivyo uchumi wao uta recover hata kama kila mtu huko atashikwa na coronana wafe 200,000, wewe keti hapo ukijaribu kushindana na ndovu kunya, kesi zenu zikizidi na watu wengi waambukizwe uchumi utazorota zaidi kuliko kama mngeweka lock down kwa mwezi mmoja tu, na corona ikiisha hamtakua na stimulus program yeyote ambayo itashindana na ya marekani.

--------------------------


Alafu for th sake of argument, Marekani iko na GDP ya 20 Trillion!
View attachment 1439835

Was referring to South Africa wewe mbwa.
 
Back
Top Bottom