Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
nyie endeleeni kukurupuka! pelekani maji Kibera! kuna kitu kinaitwa thresholds for any pandemic! imagine mmepeleka internet badala ya maji na chakula! #Akilizahandshake#Geza Ulole, sasa hiyo article si ndio ushahidi kwamba walichelewa kuanzisha 'lockdown' na 'restrictions' za usafiri kule US? Au unamaanisha kwamba wakirudi kazi kama kawaida ndio kasi ya kirusi hicho kusambaa itapungua? I swear zile pumba ambazo mnatupia humu, tena kwa sababu za kipuuzi sana kama siasa, zinatamausha kweli na kutia aibu. Ila tunawaelewa tu, sio kupenda kwenu.
Naona anaonekana kuchemka kwa hili.Trump anatetea muhula wa pili. Anaogopa uchumi ukiyumba propaganda ameimarisha uchumi wa marekani zitakuwa haziaminiki tena. Uchaguzi muhimu kuliko afya za wamarekani.
Mpaka sasa naweza kusema he is smartest President kwa hili janga.Acha kupindisha mambo, mlikua mnajisifia kwa kumkashifu Magufuli kwa kusema endeleeni kuchapa Kazi na acheni kutishana, shughuli ziendelee Kama kawaida ila tuepukeni misongamano na safari zisozokua za lazima.
Mlianza kumkebehi na kumsifia Uhuru Kenyatta Kwamba kuweka mazuio mengi, sasa Mungu wenu(Trump) anapita mule mule alimopita Magufuli. So far so good Magufuli strategies work very good".
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali yenu inawapa elfu ngapi ?We jamaa acha uongo. Wanapewa $1200 na si wote. Kuna watu hawatapata kama hawana vigezo.
Kwa mfano:
1. Wale ambao hawalipi kodi hawatapata kitu.
2. Yeyote anayepata USD 75,000 kwa mwaka hatapata pia.
Hivyo zitakuwa zinatolewa kwa vigezo.
God save us
Kufunga mipaka inasaidia kutoambukiza nchi jirani zako na pia kujua hotbed areas ndio you deal with it thoroughly.Mpaka sasa naweza kusema he is smartest President kwa hili janga.
Hebu fikiria USA wamesitisha shughuli zote lakini maambukizi yamepanda maradufu. Kwa hili tu watanzania ilitakiwa tumpongeze raisi wetu kwa kuona mbali.
Koloni letu lemefunga baadhi ya biashara kwa sababu tunawahudumia hivyo hawana hasara watapata zaidi ya watu wa chini kuumia.
God save us
Ata ingawa US walichelewa kufunga nchi developed countries watu wanatravel sana.Mpaka sasa naweza kusema he is smartest President kwa hili janga.
Hebu fikiria USA wamesitisha shughuli zote lakini maambukizi yamepanda maradufu. Kwa hili tu watanzania ilitakiwa tumpongeze raisi wetu kwa kuona mbali.
Koloni letu lemefunga baadhi ya biashara kwa sababu tunawahudumia hivyo hawana hasara watapata zaidi ya watu wa chini kuumia.
God save us
another death..
Mkishamaliza Kieleweke na Tangatanga, njaa inawasubiri. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna BBI #AkilizaHandshake# umesahau!Mkishamaliza Kieleweke na Tangatanga, njaa inawasubiri. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwa akili zako mna afueni zaidi ya Kenya? Sio kwa huo ushamba wenu wakuwakamata watz ambao wamepiga picha barabara mbovu na 'expansion joints'. [emoji1]nyie endeleeni kukurupuka! pelekani maji Kibera! kuna kitu kinaitwa thresholds for any pandemic! imagine mmepeleka internet badala ya maji na chakula! #Akilizahandshake#
Kama one tablet per child ime-fail all this time hii maneno ya Internet itasaidia vp? Watu wa Kibera wataenda Internet c@fe ku-access internet ama? #Akilizahandshake#Sasa kwa akili zako mna afueni zaidi ya Kenya? Sio kwa huo ushamba wenu wakuwakamata watz ambao wamepiga picha barabara mbovu na 'expansion joint'. [emoji1]
Kama mlivyomkamata aliyepiga picha JKIA Wakati wachina wanashuka. Failed state.Sasa kwa akili zako mna afueni zaidi ya Kenya? Sio kwa huo ushamba wenu wakuwakamata watz ambao wamepiga picha barabara mbovu na 'expansion joints'. [emoji1]
Badala ya kukesha kwenye mitandao ukifatilia habari za Kenya na kuelekeza hizi hasira zako kwa serikali ya Kenya, kama mkenya. Ungejikita kwenye kumkashifu aliyewaletea aibu ambaye ni Jiwe, sio rais UK. Nimeona kule twitter wanamuita JPM 'the new Kinjeketile Ngwale'. [emoji1] Baada ya ile kauli yake kwamba virusi vya Corona haviwezi vikanawiri kwenye 'mwili wa yesu' na kwenye nyumba za ibada. [emoji23]Kama one tablet per child ime-fail all this time hii maneno ya Internet itasaidia vp? Watu wa Kibera wataenda Internet c@fe ku-access internet ama? #Akilizahandshake#
Kati ya 31 na death 1, na 13 with no death, Nani mwenye kutia aibu?. Failed state.Badala ya kukesha kwenye mitandao ukifatilia habari za Kenya na kuelekeza hizi hasira zako kwa serikali ya Kenya, kama mkenya. Ungejikita kwenye kumkashifu aliyewaletea aibu ambaye ni Jiwe, sio rais UK. Nimeona kule twitter wanamuita JPM 'the new Kinjeketile Ngwale'. [emoji1] Baada ya ile kauli yake kwamba virusi vya Corona haviwezi vikanawiri kwenye 'mwili wa yesu' na kwenye nyumba za ibada. [emoji23]