Hii nyumba ilijengwa mwaka 1509 katika kijiji cha Argentan, Ufaransa

Kwq hiyo unakubali kuwa Africa kabla mzungu,mwarabu etc hawajaja tulikuwa tunajiweza?

Ova
Kwa standards za wakati huo tulijiweza, ukienda Timbuktu University kuna vitabu vya karne ya 14 vya utaalamu wa Afrika.

Kipindi chote tulicho pambana na utumwa wenzetu walijiendeleza zaidi kwa elimu, sayansi na teknolojia.

Unyonge wetu baada ya nguvu kazi kubwa kuchukuliwa utumwani kuliwarahisishia wakoloni kututawala. Agenda ya utawala ilikua moja tu, kuchota mali. Na hakuna aliyewaambia acha.

Baada ya miaka mingi ya kutawaliwa, tulipopata Uhuru , hatukuwa na skills za uwongozi. Meneja wa kampuni anafika kazini saa nne na saa sita amekwenda kula chakula kwakua yeye ndiye boss.
 
Kifupi kwa wasio elewa. Nyumba hiyo ina miaka 512 mpaka sasa

Ukisoma afrocentric wanadai eti miaka fulani afrika ilikuwa almost the same na huko europe kimaeneleo ilhali ukimulika kiundani watu walikuwa hawana hata vyoo vya kujisaidia.
Mohamed Said
Apo huwa ndiyo najiuliza kwahyo wazungu nao walikuwa wanajisaidia maporini😂😂
 
Bado ipo mpaka leo?.


Hili jiwe hapa lenye tani 1200 (au kilo 1,200,000) lilichongwa miaka takriban elfu tatu au elfu nne (4,000) iliyopita likatelekezwa baada ya kuonekana kuwa lina mipasuko pasuko ambayo ilikuwa haihitajiki. Lilitakiwa kuwa nguzo ya kwenda kusimikwa mahali fulani
 
Kilwa ilikua na sarafu yake ya dhahabu,mji ulopangiliwa vizuri,majengo mazuri,mreno alipofika baharini akauchora Kisha akauchoma,huwezi tengeneza sarafu na kuwa na mpango mji Kama huna maarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…