Hii Picha Itadumu kwa Miaka Mingi Sana Na Kuonyesha kuwa hakuna picha Ya bahati mbaya Inayopigwa Ikulu

Binafsi nina picha kadhaa nimepiga ikulu! Wewe hata nguo zako hazijapiga picha ikulu Huwa unasikia kwenye radio na kuiona Kwa tv! Utalamba makalio mpaka lini Lucasina
Tapeli mkubwa wewe.Embu weka hiyo picha hapa😀😀😀
 
Ni picha yenye maono makubwa sana. Uongozi mzima wa Tanzania hadi 2050 upo hapo.
 
Ndugu zangu Watanzania hakuna picha inayopigwa kwa bahati mbaya katika Siasa na katika Dunia hii. Angalia sana picha unazopiga na kuweka mitandaoni.
Hapo ilikuwa baada ya kudungwa juice na chai
 
Hapo ilikuwa baada ya kudungwa juice na chai
CCM ni chama sikivu na chenye kusikiliza sauti ya kila mmoja wetu bila kujali itikadi zetu za kisiasa. ndio maana CCM inaendelea kudumu na kusalia madarakani muda wote.
 
Wewe bado mtoto kwenye siasa, Mbowe ndio alikuwa anamlipia Lissu gharama zote za kutetea wachimba madini, nauli ya ndege kwenda na kurudi, fedha za malazi na chakula na pocket money Mbowe ndio alikuwa akilipia kila kitu, kama hujui mambo uliza
Wewe sasa ndio mtoto kisiasa , unapaswa uulize na ueleweshwe kuwa Lissu hakuwa mwanachadema kipindi hicho bali mwanachama wa NCCR Mageuzi.

Kuhusu malipo ya hizo kesi pia huna unachokijua Lissu alijitolea sana kuhusu hizo kesi na mtu aliyemsaidia kwa nafasi yake alikuwa marehemu Chacha Wangwe wewe unaongelea habari za Mbowe hapa ukifikiri zile kesi zilikuwa za kisiasa.
 
Muongo mkubwa wewe usiye jua chochote kile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…