Hii picha ya Familia ya Saut Sol inathibitisha juu ya tetesi za mmoja wao kushiriki mapenzi ya jinsia moja?

Hii picha ya Familia ya Saut Sol inathibitisha juu ya tetesi za mmoja wao kushiriki mapenzi ya jinsia moja?

Relax sina shida sana na maisha ya mtu binafsi

Hebu njoo Pm kwanza tuzungumze ya msingi
Sasa usilazimishe maombi yako yakawa sawa na yangu.Mi naomba afya njema n.k sikemei.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Usipingane na nature Bibi wee[emoji2960]
Yaani huo muda wa kupingana ndo sina, tutapiga kelele hapa kuhusu hilo lkn watu kama hao wapo, walikuwepo na wataendelea kuwepo. Kwanini niumize kichwa kwa kitu ambacho sina uwezo wa kubadili. Mungu mwenyewe kashindwa sembuse mie?
Remember sodoma na gomora...how come haya mambo yamerudi?
Mtu awe straight, awe shoga, afukuliwe mraro asifukuliwe..as long as hawafanyi mbele ya macho yangu I really don't care. Mungu mwenyewe apambane na watu wake not me.
 
Eeeh,hbr ndio hiyo Kila mmoja na opinion yake, tuliopo humu wengi hatufagilii GAYISM so why should we not confront disgusting homosexuality
 
Hatumpangii mtu maisha ila tunasikitika kumuona baharia alivyo usaliti ule utamu wote tunao upata kwenu wanawake, mnajua nyie viumbe wa kike ni Watamu sana hapo kati [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji3] bro umeuunguza picha. Hata huyu Cocka Nina wacwac nae angalia asiku Jerry Springer na we mwsho wa tarehe
 
Yaani huo muda wa kupingana ndo sina, tutapiga kelele hapa kuhusu hilo lkn watu kama hao wapo, walikuwepo na wataendelea kuwepo. Kwanini niumize kichwa kwa kitu ambacho sina uwezo wa kubadili. Mungu mwenyewe kushindwa sembuse mie?
Remember sodoma na gomora...how come haya mambo yamerudi?
Mtu awe straight, awe shoga, afukuliwe mraro asifukuliwe..as long as hawafanyi mbele ya macho yangu I really don't care. Mungu mwenyewe apambane na watu wake not me.
Umemaliza haswaaaaaah
 
Kuna mgombea mmoja wa urais tz kasema na BBC HARD TALK kuwa atawatetea, kuwalinda, na kufuta sheria zote zinazowazuia watu wa jinsia moja kupelekana kwampalange!! kazi kwenu.
Nuksi atatuletea huyo...Muumba atuepushe na laana huyo
 
Waliopandwa na hasira ukifatilia wanaume ni wengi afu wafiraji.Mwachieni mtu kijambio chake.Ombea familia yako.
Binti...nakukubalu na huku uoo kumbe? Ila kwa upande huu umeniangusha[emoji4]
 
Wanaume kila siku kuhusudu kuwaingilia wanawake kinyume na maumbile, tena wanajipiga kifua na kujisifu au kusifia sehemu ya nyuma,

Ila wakisikia au ikiwa kuhusu Gayism wanachefukwa na ku hemkwa kwa ghadhabu kana kwamba ni suala geni au la ajabu. Hivi kinyeo cha kiume na kike kina tofauti gan?

na almost wengi wao wanaopinga masuala ya gayism ni wafiraji haswaah, hiyo yote ni kujihami msieeeeew zao.

Nkae kimya tyuuuh nisije kulipua [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95] watu wakaikimbia JF.
Ww mwanaume na mimbavu yako upumuliwe na Kidume mwenzio mboo inasimama km yko it so so absurd ugly rubbish ni sawa na kula matapishi
 
Ww mwanaume na mimbavu yako upumuliwe na Kidume mwenzio mboo inasimama km yko it so so absurd ugly rubbish ni sawa na kula matapishi
Km kwako inakuaa hivyooh, basi kua kimya ila wale ambao wanafanya kwa binafsi yao haikuhusu. Wee deal na yako
 
Cocastic nikufurahishie tu kwa hili,sio Siri comment zako zote za kike kike Sasa sijui ndio fahari yko km mwanaume kupewa sifa km hzo
Hivi unanizungumzia mie au tunajadili Gayim? Hebu jikite kwenye hoja.
 
Km kwako inakuaa hivyooh, basi kua kimya ila wale ambao wanafanya kwa binafsi yao haikuhusu. Wee deal na yako
Yo I live my life & I speak my mind the way you do though we aren't on the same plate Boy,kwa hyo na mm niache usinifokee
 
Back
Top Bottom