So what expect? Wee unazungumzia juu ya maisha binafsi ya watu ambapo kwa fikra na mtazamo wako unaona sio sahihi,Yo I live my life & I speak my mind the way you do though we aren't on the same plate Boy,kwa hyo na mm niache usinifokee
Nitaonaje akiwa anafukuliwa mkuu? Wewe mwenzangu uliwahi shuhudia watu wakifukuana? Nitajali kama ni under 18 otherwise kila mtu abaki na dhambi zakeMwanao akiwa anazibuliwa mtaro kwako ni fresh tu maana ni maisha yake?
Kujua au kuto kujua hilo ni suala langu binafsi, haliwahusu na wala halihusiki hapa.Mkuu yule shemeji yako aliyekurukisha vichurachura na dada yako wanajua kwamba unafumuliwa marinda??
Huo mtaa ni mtaa wangu sema sijapita siku nyingi sana aiseee.Birds of the same feathers.
ila pia utawakuta pachoto pale.
Upo sahihi maeneo hayo ndiko Wana hang out hao unaosema wa mjini mjini.Huo mtaa ni mtaa wangu sema sijapita siku nyingi sana aiseee.
Ni mtaa unaoongoza kuwa na vijana wanajifanya wa mjini mjini
Usirudie kuniquote tena kwenye uzi wowote..sawa?Kwahiyo huyo unae msema n punga akichanwa hicho ulichokitaja wee una athirika vipi? Ishi maisha yako binafsi, ya wengine hayakuhusu khaaaah.
Mnafuatilia San faragha za watu, kwan zenu nani anawafuatilia?
Poleeh San kwa kuhemkwa kwa jambo usilohusika nalo, kaa kwa kutulia, hakuna kupangiana, enjoy ur life choice.
Dunia ni Duara.
Wewe hujielewi, ameshasema jamii itaathirika vizazi vitaona kuwa ni normal ishu wakati si normal, jinsia moja wakioana watu watazaliana vipi?Swali kwa Swali hupatikana jibu, (filosofi hiyo)
Ungelijibu hilo swali ili uweze kuelewa point yangu, huwezi kuruka kutambaa ukataka kukimbia.
Kwa nyongeza, kwa opinion yako ni kua same sex ni mbaya sababu ya watoto blah blah, je same sex inaumiza vipi jamii?
Wewe na John mkioana sisi tunaumizwa wapi?
Wewe hujielewi, ameshasema jamii itaathirika vizazi vitaona kuwa ni normal ishu wakati si normal, jinsia moja wakioana watu watazaliana vipi?
Mchicha mwiba uoUsirudie kuniquote tena kwenye uzi wowote..sawa?
Kapigwe miti huko wewe dada mvulana
Wenzake wako na watoto warembo hivyo, yeye anaukatikia wa mzungu, dah!
Kashaikosa kura yangu huyo.Kuna mgombea mmoja wa urais tz kasema na BBC HARD TALK kuwa atawatetea, kuwalinda, na kufuta sheria zote zinazowazuia watu wa jinsia moja kupelekana kwampalange!! kazi kwenu.
Hahaha Mkuu hii zama wanaume kweli kweli(Straight men) wanabaki wachache sana maana shetani anamzidi speed Yesu..! Anageuza watu mashoga na matukio mengi ya hovyo
Wow! Nitawatembelea, safi sana.haha kuna bar kinondoni opposite na mahakama kuu kitengo cha kazi,
Mmiliki ni gay na wahudumu pia,
kuna siku napita nawakuta wanasukana aisee.
Hadi bendera ya kuzimu unaijua basi wewe ni Kigagula uliyeshindikana,HELL flag yenu hii ( Bendera Ya Kuzimu?
Lol, hua nina wasiwasi na mitungi yenu ya akili kama hua inashuka ujazo au ipo empty kabisa,Wewe hujielewi, ameshasema jamii itaathirika vizazi vitaona kuwa ni normal ishu wakati si normal, jinsia moja wakioana watu watazaliana vipi?
Unashiriki zinaa ya jinsia mbili?Unashiriki zinaa ya jinsia moja
hivi wewe hua ni Ke au Me?[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419] sina cha kuongeza.
Naona wasagaji tumewagusa mmewaka kama mbogo.hahahaHivi unajua kua nini unazungumza? Haya wee ambae hujaoza kwa huo uozo unao maamisha, una toa hoja ipi au unataka kusemaje juu ya maisha binafsi ya mtu, hasa ktk upande wa faragha?
Wee km hupendi huo uozo unao uzungumzia kadri ya fikra na mtazamo wako basi epukana nao binafsi, na sio kuingilia maisha ya mtu tena ambaye hayakuathiri kwa chochote, kisa wee hupendi.
Ishi maisha yako binafsi ili ufurahie chaguo la maisha yako, ya wengine hayakuhusu na wala hutahusika nayo kamweeh hata Dunia igeuke.
Kila mtu ana haki ya kuamua juu ya maisha yake binafsi pasipo kuingiliwa wala kuzuiliwa, ili hali hai athiri kanuni, taratibu na sheria Pa1 na maisha ya wengine.
Relaaaaax Dunia ni Duara.