Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Kitendo cha kutaka wote muone utamu wa mwanamke ndio kupangiana maisha huko.... amechagua njia yake inayompa utamu.Hatumpangii mtu maisha ila tunasikitika kumuona baharia alivyo usaliti ule utamu wote tunao upata kwenu wanawake, mnajua nyie viumbe wa kike ni Watamu sana hapo kati [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Endelea kushabikia uimbaji wake mengine muachie mwenyeweHe is my favourite singer in the group...
The rest is his life. Why bother!!???
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419] sina cha kuongeza.Kitendo cha kutaka wote muone utamu wa mwanamke ndio kupangiana maisha huko.... amechagua njia yake inayompa utamu.
Fuatilia muziki wao, matumizi ya sehemu zao za siri hayakuhusu.Picha hii imewekwa kwenye akaunti yao ya Twitter huku wakiweka caption isomekayo Sauti Sol Family.
Maswali yameibuka kuwa mbon akuna Mwanaume na Mwanaume je nao ni wapenzi kama hao wa jinsia tofauti?
Kwa muda mrefu zimekuwepo taarifa za mmoja wa wanakikundi hiki cha muziki kutoka Kenya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Huwezi kosa hapa najua...nawazoom tu😷Endelea kushabikia uimbaji wake mengine muachie mwenyewe
😂😂😂Jamaa kafeli sanaaaa imagine mwanaume unakatikia rungu la mwanaume mwenzakoHatumpangii mtu maisha ila tunasikitika kumuona baharia alivyo usaliti ule utamu wote tunao upata kwenu wanawake, mnajua nyie viumbe wa kike ni Watamu sana hapo kati [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Mimi bado naona unacho cha kuongeza inamaana wewe unaona ni sahihi kabisa mwanaume kufanya mapenzi ya jinsia moja au mwanamke kufanya mapenzi ya jinsia moja? Hebu fikiria vizuri kisha uje na jibu sahihi[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419] sina cha kuongeza.
Kumbe na humu wamo?... [emoji2961]Huwezi kosa hapa najua...nawazoom tu[emoji40]
😀😀Namzengua..hata sijui mkuuKumbe na humu wamo?... [emoji2961]
Yote yaleyale hayo mkuu.Mimi bado naona unacho cha kuongeza inamaana wewe unaona ni sahihi kabisa mwanaume kufanya mapenzi ya jinsia moja au mwanamke kufanya mapenzi ya jinsia moja? Hebu fikiria vizuri kisha uje na jibu sahihi
Halafu ni zunguuu.😂😂😂Jamaa kafeli sanaaaa imagine mwanaume unakatikia rungu la mwanaume mwenzako
Yeye anasema tunawapangia watu maisha kwa kuwa tu nae ni mmojawapo..Mimi bado naona unacho cha kuongeza inamaana wewe unaona ni sahihi kabisa mwanaume kufanya mapenzi ya jinsia moja au mwanamke kufanya mapenzi ya jinsia moja? Hebu fikiria vizuri kisha uje na jibu sahihi
Stakagi mambo ya kuniumiza kichwa, kila mtu awe apendavyo hapa duniani, mi I don't care kweliHuwezi kosa hapa najua...nawazoom tu[emoji40]
Huyo beberu anakula kinyesi?Huyo aliyevaa sare (suruali) na mme wake
Kwamba hata mkeo au mwanao akiwa anafukuliwa mtaro unamwacha tu kwa vile ni maisha binafsi si ndio hivyo?Yaan wa TZ ni watu wa ajabu sana, wanataka kupangia maisha ya mtu binafsi, duuuuh
Punga hilo achana nalo walichane puruKwamba hata mkeo au mwanao akiwa anafukuliwa mtaro unamwacha tu kwa vile ni maisha binafsi si ndio hivyo?
Kucha zimepakwa rangi, wacha tu abokolewe na baunsa wa kizungu