Hii picha ya Familia ya Saut Sol inathibitisha juu ya tetesi za mmoja wao kushiriki mapenzi ya jinsia moja?

Hii picha ya Familia ya Saut Sol inathibitisha juu ya tetesi za mmoja wao kushiriki mapenzi ya jinsia moja?

Mifiraji na inapigia debe ufiraji.Then wanaumizwa na kijambio cha mwenzao.
Wanawake hapa inabidi tusimame maana mambo yanabadilika kwa kasi ya ajabu.Wanaume hawautaki uanamme na majukumu yake kadri siku zinavyoenda.
Wanaume kila siku kuhusudu kuwaingilia wanawake kinyume na maumbile, tena wanajipiga kifua na kujisifu au kusifia sehemu ya nyuma,

Ila wakisikia au ikiwa kuhusu Gayism wanachefukwa na ku hemkwa kwa ghadhabu kana kwamba ni suala geni au la ajabu. Hivi kinyeo cha kiume na kike kina tofauti gan?

na almost wengi wao wanaopinga masuala ya gayism ni wafiraji haswaah, hiyo yote ni kujihami msieeeeew zao.

Nkae kimya tyuuuh nisije kulipua [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95] watu wakaikimbia JF.
 
Hilo la kuhusu kudate kindugu lipo tangu enzi na enzi, na km wana ndugu kwa akili na utashi wao wenyewe wameamua kuwa wapenzi, mie ina ni athiri vipi?

Ni aina ya maisha ya faragha zao walizoamua kua nazo, sina uhuru wala ruksa kuingilia, hata km si sahihi kwa mtazamo wa kawaida hivyo inabaki kuwa nadharia tyuuh.

Huyo mwanangu akiniuliza kuhusu Gayism ntamuweka wazi kwa kila kitu kuhusu suala hilo, sasa itakua ni uamuzi wake ktk fikra na mtazamo wake.

Kwa vyovyote vile itakavyokuwa, sitaweza kupinga au kuzuia kwani ni uhuru wake kufuata mlengo wa hisia zake kwenye faragha aipendayo. Na haitabadilisha uhalisia kua ni mwanangu hata km sitakua the same juu ya hilo suala. Still ts his own life.

Dunia ni Duara.
Aiseeeeee
Kwahiyo wewe ikiwa mtu kaamua kufanya kitu kwa utashi wake mwenyewe wewe huna shida kabsaaaaa........kiufupi haikuhusu?
Haijalishi ni kitu gani ilimradi hakikuathiri wewe
 
Wanaume kila siku kuhusudu kuwaingilia wanawake kinyume na maumbile, tena wanajipiga kifua na kujisifu au kusifia sehemu ya nyuma,

Ila wakisikia au ikiwa kuhusu Gayism wanachefukwa na ku hemkwa kwa ghadhabu kana kwamba ni suala geni au la ajabu. Hivi kinyeo cha kiume na kike kina tofauti gan?

na almost wengi wao wanaopinga masuala ya gayism ni wafiraji haswaah, hiyo yote ni kujihami msieeeeew zao.

Nkae kimya tyuuuh nisije kulipua [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95] watu wakaikimbia JF.
Two wrong can't make it right

Pili kuna tofauti kubwa kati ya kikojoleo cha mke na cha mama au mtoto au shangazi kama issue ni kiungo
Au wewe unapita navyo vyote sababu vyote ni viungo sawa?
 
Hilo la kuhusu kudate kindugu lipo tangu enzi na enzi, na km wana ndugu kwa akili na utashi wao wenyewe wameamua kuwa wapenzi, mie ina ni athiri vipi?

Ni aina ya maisha ya faragha zao walizoamua kua nazo, sina uhuru wala ruksa kuingilia, hata km si sahihi kwa mtazamo wa kawaida hivyo inabaki kuwa nadharia tyuuh.

Huyo mwanangu akiniuliza kuhusu Gayism ntamuweka wazi kwa kila kitu kuhusu suala hilo, sasa itakua ni uamuzi wake ktk fikra na mtazamo wake.

Kwa vyovyote vile itakavyokuwa, sitaweza kupinga au kuzuia kwani ni uhuru wake kufuata mlengo wa hisia zake kwenye faragha aipendayo. Na haitabadilisha uhalisia kua ni mwanangu hata km sitakua the same juu ya hilo suala. Still ts his own life.

Dunia ni Duara.
DUNIA SIMAMA NISHUKE [emoji44] aya yanayo endelea sitak kuyaona mm
 
Hilo la kuhusu kudate kindugu lipo tangu enzi na enzi, na km wana ndugu kwa akili na utashi wao wenyewe wameamua kuwa wapenzi, mie ina ni athiri vipi?

Ni aina ya maisha ya faragha zao walizoamua kua nazo, sina uhuru wala ruksa kuingilia, hata km si sahihi kwa mtazamo wa kawaida hivyo inabaki kuwa nadharia tyuuh.

Huyo mwanangu akiniuliza kuhusu Gayism ntamuweka wazi kwa kila kitu kuhusu suala hilo, sasa itakua ni uamuzi wake ktk fikra na mtazamo wake.

Kwa vyovyote vile itakavyokuwa, sitaweza kupinga au kuzuia kwani ni uhuru wake kufuata mlengo wa hisia zake kwenye faragha aipendayo. Na haitabadilisha uhalisia kua ni mwanangu hata km sitakua the same juu ya hilo suala. Still ts his own life.

Dunia ni Duara.
Nenepa tu kwa stress sio kesi japo haichekeshi
 
UPINDE WA MVUA KAZINI
Kila mtu ana haki ya kuamua maisha yake binafsi yawe vipi kadri ya matakwa yake.
Wala hakuna kupangiana, acha muhusika afurahie chaguo pendwa na hitaji ktk maisha yake.
Yaan wa TZ ni watu wa ajabu sana, wanataka kupangia maisha ya mtu binafsi, duuuuh
Watu huko wanatukana kama wamerukwa na akili, yaani wana hasira na maisha ya wengine wanasahau ya kwao, hasa Watanzania sijui kwanini?
Nacheka tu na comments.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Picha hii imewekwa kwenye akaunti yao ya Twitter huku wakiweka caption isomekayo Sauti Sol Family.

Maswali yameibuka kuwa mbon akuna Mwanaume na Mwanaume je nao ni wapenzi kama hao wa jinsia tofauti?

Kwa muda mrefu zimekuwepo taarifa za mmoja wa wanakikundi hiki cha muziki kutoka Kenya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja
acheni uchawi, picha siyo moyo wala roho, kuna viongozi wapo makanisanikila jumapili kumlilia mungu ila mikono yao imejaa damu na shingoni wamevaa misalaba huku wakiubiri chuki dhidi ya kabila flani na watu wa kanda flani.
 
Kila mtu ana haki ya kuamua maisha yake binafsi yawe vipi kadri ya matakwa yake.
Wala hakuna kupangiana, acha muhusika afurahie chaguo pendwa na hitaji ktk maisha yake.
Mmmmh!!!!.
[emoji53][emoji53]
 
Back
Top Bottom