Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
[emoji2380][emoji2380]
Sanaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2380][emoji2380]
Sanaaaaaaaa
Kwan punga hana wazazi? Amejizaa?Zaa wa kwako halafu awe punga ndo utaelewa.
Mkuu huyu punga achna nae.Two wrong can't make it right
Pili kuna tofauti kubwa kati ya kikojoleo cha mke na cha mama au mtoto au shangazi kama issue ni kiungo
Au wewe unapita navyo vyote sababu vyote ni viungo sawa?
[emoji2380][emoji2380]Sanaaaaaaaa
Ndiyo.Kwaiyo kwako ni sawa tu? Hujaona tatizo apo kila kitu kiko sawa?
Wewe unafanyana na nani?Nyie endeleeni tu.mtakwenda kujibu kwa mungu.
Aliyewaambia mfanyane wenyewe kwa wenyewe ni nani
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Ndiyo.
Kila kitu kipo sawa kabisa.Na mimi ni nani mpaka nimpangie huyo mtu asiyenijua maisha yake.Ningekuwa na opinion kama nina udugu naye na nina mfahamu.Why nirudie kulaani kule kule ambako kila mtu ameshalaani na wala haitomfanya abadilike.
Kwa hiyo wanaume kufirana sio sawa ila mwanamme kumfira mwanamke ni sawa???
Wakifikia hatua ya kuoana hutajua faragha yao?Kwa hiyo ulitaka awafanyaje? Kwanza faragha za watu unazijuaje kama sio kukosa kazi.
Huo si ndio uzinzi jamani, uwe na Wanawake badala ya Mwanamke
Watu wakioana ndio hawana faragha?Wakifikia hatua ya kuoana hutajua faragha yao?
Kama kuna kuombea basi bila shaka jambo ni bayaWaliopandwa na hasira ukifatilia wanaume ni wengi afu wafiraji.Mwachieni mtu kijambio chake.Ombea familia yako.
Ila Baby unavyonifanyia sio kabisaKila mtu anaona sahihi kwake kulingana ma matakwa ya hitaji lake, usitake mtazamo na fikra au mapendekezo yako basi yawe sawa wengine, haiwezekan kamwe.
Kila mtu na life style yake ambayo anaona kwake ni sawa. Na ujue kila mtu ana hako na uhuru was kufanya jambo ambalo kwake ni sahihi pasipo kuathiri mwingine. Hakuna kupangiana.
Acha kila mtu aishi maisha yake binafsi, live ur own life.
Mifiraji na inapigia debe ufiraji.Then wanaumizwa na kijambio cha mwenzao.
Wanawake hapa inabidi tusimame maana mambo yanabadilika kwa kasi ya ajabu.Wanaume hawautaki uanamme na majukumu yake kadri siku zinavyoenda.
Usiponielewa wala sio tatizo langu.Wala hueleweki unatetea gayism au unapiga vita
Kwani utajiri ni mbaya?Mbona huwa tunaomba tutajirike,tufanikiwe na tiwe na afya njema??Kama kuna kuombea basi bila shaka jambo ni baya
Ni kweli.Sasa kinachokera kuona watu wanakereka mwanamme akifanyiwa hivyo tu.Ila humu JF kumejaa nyuzi za kusifu kufanyia wanawake huo mchezo.Ndo unafiki unapoanzia.Huo mchezo kote ni kubaya si kwa mwanaume au mwanamke.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app