CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Inasemekana ni leo wakiwa mazoezini kiwanja cha boko veteran, kwenye picha namuona beki mkongo Innonga na Jonas mkude
Kinachonichanganya ni kwamba Innonga tuliambiwa kaitwa the leopards team ya taifa ya Congo ina maana bado hajaondoka? Mkude kapewa ruhusa maalumu kwenye team ya taifa kwamba na matatizo ya kifamilia ila kwenye mazoezi ya simba yupo?????? duh
Kinachonichanganya ni kwamba Innonga tuliambiwa kaitwa the leopards team ya taifa ya Congo ina maana bado hajaondoka? Mkude kapewa ruhusa maalumu kwenye team ya taifa kwamba na matatizo ya kifamilia ila kwenye mazoezi ya simba yupo?????? duh